sixgates mwenzako huyu haya ndiyo matunda ya Lema na wenzako.
Ridhiwani, niko na mihayo huki PA anakupa hi!
Last edited by a moderator:
sixgates mwenzako huyu haya ndiyo matunda ya Lema na wenzako.
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
Huyu aliyesema kajiondoa na aende tuuu. Hatujamwita kuja alijileta mwenyewe na ajiondoe mwenyewe yeye si CDM na CDM ina wenyewe
Mwanaume anaekata kata tama anamatatizo
Wewe inawezekana uko makao makuu ya chadema Kinondoni.
Pesa zote za ruzuku zinaishia Kinondoni. Wilaya hazipati hata shilingi za kujenga chama, watu wanajitolea. Kinachosikitisha ni kwamba watu hawa wanaojitolea wakitoa maoni juu ya mwenendo wa chama hawasikilizwi.
Vijana ndani ya chadema wanatumika kama miili ya maandamano tu...
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
kesho namwaga uchafuwote wa lema kahaba wake rose walivyokuwa waafanya hapa kagera
Na wenyewe ndiyo sisi Wachaga.
Mtajichuja masalia wote mpaka muishe,tutawabana kwenye tundu jembamba mpaka mkose pumzi..
Mtajichuja masalia wote mpaka muishe,tutawabana kwenye tundu jembamba mpaka mkose pumzi..