Huyu ni gamba hajawahi kuwa Chadema, soma maandishi yake alikiri kuwa yeye ni CCM damu na natoka ......mmajitekenya na kujipongeza wenyewe....duhhhHongera sana. Umejikomboa.
Wewe ndo kundi la sixgate ehhh...Tunataka na kadi yako...Halafi ita na press conference kabisa..ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
salumu mitema
31st July 2013 18:49 #21
Member
Array
Join Date : 7th May 2013
Posts : 59
Rep Power : 338
Likes Received
11
Likes Given
34
Re: CCM tunaomba uwazi wa ripoti ya mapato na matumizi ya fedha
c cm damu na siami
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
Mkuu tedo simfahamu huyu. Mimi nimetoa maamuzi binafsi. Sijamsukuma mtu.
hajasema kuwa anakuja kuvaa Gamba....Mkuu umefanya maamuzi Mema sana.
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.
Vijana werevu wameshatambua hilo na wanajitoa mmoja baada ya mwingine.
Chama kinachojiita cha demokrasia hakiwezi kuficha hesabu za mapato na matumizi...
poleni sana kwa mateso uliyoyapata toka mwaka 2010 hata ivyo una roho ngumu, naona umegoma kuwa msukule.
Cc: faizafoxy zemarcopolo
dua la kuku halimpati mwewe na huyo kibaraka wenu siku zake zinahesabika.
Hongeral mkuu,sisi tunaendelea kudunda na CHADEMA yetu,
Najiunga rasmi na Chadema kesho, nitasitisha majukumu yangu yote. Mbwa wote sasa wanajionesha rangi zao asili.