Nimejiondoa rasmi CHADEMA

Nimejiondoa rasmi CHADEMA

Nimerejesha Uzi wa CCM tunataka uwazi wa fedha , Someni alichoandika kuwa yeye ni CCM damu na hahami.....sasa leo sijui katoka wapi huyu mtu
 
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh

kaka waache akina MSHUMBUSI na bwana yake wagonge LIKES zao kwa posts za kipuuzi, si unakumbuka hata walipokuwa nje walisema ngoja WATANUE kwsbb WAMEWEKEZA sana CDM_sasa ktk mazingira na kauli hizo unadhan kwnn wasibadili KATIBA ili WATANUE MILELE na unadhan vp watampenda ZZK wakat anawauliza MATUMIZI, tender hata cattering services zote wanafanya wao na MAHAWARA zao_huko wanaweza kudum family members(kanda ile) na vijana ambao hawajajitambua
 
Mie si mbumbumbu, am reasonably educated (at masters level), nimeshaajiriwa hadi nje ya nchi yetu, sihitaji favour ya mtu ama ili niishi au nipate ajira AND AM PROUDLY CHADEMA MEMBER! Sihitaji cheo ndani ya chama wala sina sababu ya kuwa mwanachama ili niwe na cheo AND AM A PROUD CHADEMA MEMBER!

kwa kauli hizo hujaelimika chochote bali umejaza ush uzi tu kichwani.
 
Hata hv hatutaki wababaixaji huku si ni kazi tuu na chadema yetu mpaka tunakufa.
 
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
Wakati unajiunga ulimtangazia nani?
 
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh

Inaonekana ulifuata helicopiter wewe!
Wengine tupo toka 2000 na hatuondoki ng,o maana tunajua wapi tumetoka,tupo wapi na tunaenda wapi.
 
salumu mitema
31st July 2013 18:49 #21
Member
Array
Join Date : 7th May 2013
Posts : 59
Rep Power : 338
Likes Received
11
Likes Given
34
Re: CCM tunaomba uwazi wa ripoti ya mapato na matumizi ya fedha
c cm damu na siami
 
Dawa inayotumika kuisafisha cdm inaondoa uchafu na madoa sugu. Pole yenu nyinyi masalia na wanafki wakubwa. Kwani niheri kujiondoa mwenyewe kuliko kuja kuondolewa
 
Nenda ukajiunge na chama cha kufa na kuzikana vinginevyo hakuna chama cha siasa chenye sera nzuri kama CHADEMA
 
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh

Ulitegemea cheo umekosa, ukategemea hela umekosa, kafie huko kwa wezi wenzako,ni sawa na bilioni moja nakuondoa hapo sh 10, itabaki bei gani.. Kuna hasaraaa.
 
Mimi ningeondoka kama kungekuwa na pakwenda,sa nitoke chadema niende chama gani hapa bongo? Nitakomaa humuhumu no matter what!
 
salumu mitema
31st July 2013 18:49 #21
Member
Array
Join Date : 7th May 2013
Posts : 59
Rep Power : 338
Likes Received
11
Likes Given
34
Re: CCM tunaomba uwazi wa ripoti ya mapato na matumizi ya fedha
c cm damu na siami


Haya ya ni maandishi yake mna poteza muda na nguvu kujadilianana gamba ..
 
Hebu naomba mnisaidie kuweka rekodi za huyu salum hapa jf toka ajiunge hadi sasa na post alizowahi kuanzisha ama kuchangia japo kidogo tu makamanda wenzangu. Chadema itabaki. Peopless!
 
Last edited by a moderator:
Umefanya haraka kujitoa na kwa utaratibu huo wa kujitoa utakuwa hujengi ila unabomoa.
 
Back
Top Bottom