Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Upuuuzi mtupu
Sisi tupo 10 tuliojiunga CHADEMA leo, na bado nina mpango wa kuingiza kiasi kama hicho mara 5 kabla mwaka huu kuisha. Kulumbana ndio kukua kwa chama. hata miti hugongana sembuse watundiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
sixgates mwenzako huyu haya ndiyo matunda ya Lema na wenzako.
Hongeral mkuu,sisi tunaendelea kudunda na CHADEMA yetu,
Kwa jina lako hilo. Salum kweli ulipambana
Sisi tupo 10 tuliojiunga CHADEMA leo, na bado nina mpango wa kuingiza kiasi kama hicho mara 5 kabla mwaka huu kuisha. Kulumbana ndio kukua kwa chama. hata miti hugongana sembuse watu
Bandu bandu humaliza gogo.
mamluki mnaanza kusanda baada ya kuona mmestukiwa,kwendraaaaaaaaaaaaa
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.
Vijana werevu wameshatambua hilo na wanajitoa mmoja baada ya mwingine.
Chama kinachojiita cha demokrasia hakiwezi kuficha hesabu za mapato na matumizi...
Haya Mnama. si chakwenu hicho?
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
Wewe inawezekana uko makao makuu ya chadema Kinondoni.
Pesa zote za ruzuku zinaishia Kinondoni. Wilaya hazipati hata shilingi za kujenga chama, watu wanajitolea. Kinachosikitisha ni kwamba watu hawa wanaojitolea wakitoa maoni juu ya mwenendo wa chama hawasikilizwi.
Vijana ndani ya chadema wanatumika kama miili ya maandamano tu...
ni vipofu tu ambao hawaoni mapungufu ya viongozi wetu (mbowe na slaa) MALIPYOTO
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh