Mi ndo ningekua huyo jamaa wangejuta kunifahamu hao mashemejiBasi tu vmebaki visilani vya ndani kwa ndani. Sababu jamaa huwa anakumbuka sn hilo tukio aisee.
Mkuu nimefurahi sana kusikia mtoto mzuri kama wewe unachukuliwa na kabwela.Sanyingine kunakua na madoido flan ili kukustua tu... Teh ila mi wangu sitakubali azinguliwe
Kabwela gani?Mkuu nimefurahi sana kusikia mtoto mzuri kama wewe unachukuliwa na kabwela.
Ni kweli mkuu,Ni vizuri ukawambia huna kitu kabsaaa ili isiwe rahisi kubeba mzigo wa Kulea mashemeji
wanawake wengi hivi kwani ni lazima kujiingiza wenye matatizo mapema hivyo.Aisee! mkuu ushaanza kunitisha,hivi karibuni nategemea kupeleka posa. Na kwa details nilizopata ni kwamba baba mkwe ni mkorofi balaa...na huwa hana soni kwa mtu yeyote hata kama ndo anakuona kwa mara ya kwanza.
Sasa nikiunganisha dots hapo juu ndo tumbo linazidi kuniuma yani. Sijui nitatoka salama siku hiyo!? nawaza tu mwenyewe.