Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,980
- 95,495
Exactly, at least uwafahamu ndugu zake wawili watatu, watu/rafiki zake wa karibu hivyo. Maana siku hizi tunakutana kimjimjini, sasa uhusiano wakufahamiana nyie wawili tu khaa. Kwenye kufahamiana huko +story za hapa na pale kunaweza kukusaidia ukajua A, B, C za familia na ukoo pia, wanaishije, mila, desturi etc. Ila Benny unapenda pombe hahahhaah, ntakuja kesho kuchafua meza yako na fantaYeahh yaan kwenda ukweni kichwa kichwa ni upuuzi kwa nini mtu asifanye ujanja uwajue vizuri wengi wao hata kama sio wote kabla ya kwenda..
Mbona simple sana kama una mpango naye zile out out haina shida leo kaja na mdogo wake kesho na binamu zake unawapigisha misosi kama wanalewa poa na transport uhakika mpaka kwao kaka zake kama sio wakuda sana unawalinda linda kihivyo
Siku official ukienda kwao mbona wanatamani umchukue siku hiyo hiyo kila mmoja anajidai anakujua wanaleta story nyingi wewe unacheki mission na vission yako hapo hahah