Nimeitwa kuanza mafunzo ya jeshi la zimamoto

Nimeitwa kuanza mafunzo ya jeshi la zimamoto

Ayochemical

Member
Joined
Jan 26, 2012
Posts
30
Reaction score
5
Habari za asubuhi wakuu ,jana nimeitwa kuanza mafunzo mara moja katika jeshi la zimamoto ambayo maombi tulituma mwaka juzi

Nilipoona ukimya niliamua kuanza masomo ya degree ya kwanza ambapo kwa sasa naingia mwaka wa tatu na ndipo wao wametuma jana meseji kua natakiwa kuripoti nombeni ushauri nihairishe masomo ili niende au nimalize masomo asanteni.
 
HABARI ZA ASUBUHI WAKUU ,JANA NIMEITWA KUANZA MAFUNZO MARA MOJA KATIKA JESHI LA ZIMAMOTO AMBAYO MAOMBI TULITUMA MWAKA JUZI..NILIPOONA UKIMYA NILIAMUA KUANZA MASOMO YA DEGREE YA KWANZA AMBAPO KWA SASA NAINGIA MWAKA WA TATU NA NDIPO WAO WAMETUMA JANA MESEJI KUA NATAKIWA KURIPOTI NOMBENI USHAURI NI PRESPOND MASOMO ILI NIENDE AU NIMALIZE MASOMO ASANTENI.
Eleza umeishia Level gani haiwezekani Uko mwaka wa tatu unashindwa kuandika neno Postpone uko chuo gani? Bila shaka itakua Teofilo, SAUT, Jordan, MUM, na aina nyingine za hivyo vyuo.
 
HABARI ZA ASUBUHI WAKUU ,JANA NIMEITWA KUANZA MAFUNZO MARA MOJA KATIKA JESHI LA ZIMAMOTO AMBAYO MAOMBI TULITUMA MWAKA JUZI..NILIPOONA UKIMYA NILIAMUA KUANZA MASOMO YA DEGREE YA KWANZA AMBAPO KWA SASA NAINGIA MWAKA WA TATU NA NDIPO WAO WAMETUMA JANA MESEJI KUA NATAKIWA KURIPOTI NOMBENI USHAURI NI PRESPOND MASOMO ILI NIENDE AU NIMALIZE MASOMO ASANTENI.
HAKUNA JESHI LINAITWA ZIMAMOTO!HICHO NI KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOAJI!
 
HABARI ZA ASUBUHI WAKUU ,JANA NIMEITWA KUANZA MAFUNZO MARA MOJA KATIKA JESHI LA ZIMAMOTO AMBAYO MAOMBI TULITUMA MWAKA JUZI..NILIPOONA UKIMYA NILIAMUA KUANZA MASOMO YA DEGREE YA KWANZA AMBAPO KWA SASA NAINGIA MWAKA WA TATU NA NDIPO WAO WAMETUMA JANA MESEJI KUA NATAKIWA KURIPOTI NOMBENI USHAURI NI PRESPOND MASOMO ILI NIENDE AU NIMALIZE MASOMO ASANTENI.
Ku prespond masomo ndo kufanyeje vile?
 
HAKUNA JESHI LINAITWA ZIMAMOTO!HICHO NI KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOAJI!
Kuchamba kwingi mwisho unatoka na Mavi
1. Jeshi la Polisi
-----------(a) Trafick
----------(b) FFU
2. Jeshi la Zima moto
3. Jeshi la Wananchi
-----------(a) Jeshi la majini (Navy)
-----------(b) Anga (Air Force)
-----------(c) Nchi kavu (Combat)
4. Jeshi la Uhamiaji
5. Jeshi la Kujenga Taifa
6. Jeshi la Magereza
 
Kuchamba kwingi mwisho unatoka na Mavi
1. Jeshi la Polisi
2. Jeshi la Zima moto
3. Jeshi la Wananchi
4. Jeshi la Uhamiaji
5. Jeshi la Kujenga Taifa
6. Jeshi la Magereza
Inaonekana mkuu haka kamchezo ka kuchamba kwingi unakawezaga sana!![emoji87] [emoji87]
 
Salama Mdogo wango, Nenda
HABARI ZA ASUBUHI WAKUU ,JANA NIMEITWA KUANZA MAFUNZO MARA MOJA KATIKA JESHI LA ZIMAMOTO AMBAYO MAOMBI TULITUMA MWAKA JUZI..NILIPOONA UKIMYA NILIAMUA KUANZA MASOMO YA DEGREE YA KWANZA AMBAPO KWA SASA NAINGIA MWAKA WA TATU NA NDIPO WAO WAMETUMA JANA MESEJI KUA NATAKIWA KURIPOTI NOMBENI USHAURI NI PRESPOND MASOMO ILI NIENDE AU NIMALIZE MASOMO ASANTENI.
Nenda zimamoto kwanza asee chuo utakuja kumalizia baadae Ajira Ngumu sana sana kwa sasa
 
Nenda zimamoto...usije ukajutia baadae...hxo coz zenyewe watu wapo kibao aamesoma na hawana ajira...
 
Back
Top Bottom