Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
- Thread starter
- #61
Mwambie aje huku viunga vya Jambiani Zanzibaaaa....
Anasema huko alicheza napo sana kwenye early 30's, yakamishinda kuweka ndani
Mwambie aje huku viunga vya Jambiani Zanzibaaaa....
Aweke X kwenye kuoa au arudi nyumbani atafute mke hadi atakapo mpata.
Anataka mke au mpenzi?
Mwambie amtumie fedha Ngongo atamtafutia faster hakuna kazi za bure muzee.
Hizi tabia za kutumia mathird part hapa JF tabia hii itaisha lini? kwani kaka yako hajui kutumia internet?
Kuhusu wife materials anaemfaa nadhani ni cabin clew, maana muwe akiwa New york mama yupo London, hiyo itakuwa imetulia.
Hizi tabia za kutumia mathird part hapa JF tabia hii itaisha lini? kwani kaka yako hajui kutumia internet?
Kuhusu wife materials anaemfaa nadhani ni cabin clew, maana muwe akiwa New york mama yupo London, hiyo itakuwa imetulia.
mbona kashakuwa babu sasa! Mi wife material ila atanifataki. Lol.
Mtafutie wewe mtaani kwako/kazini kwako..
Mwambie aingie humu; atapata rafiki kwanza, then mchumba na mke ilimradi tu naye awe husband material... asilete usharoUS tu!
unaposema anajaribu anashindwa unamaanisha nini? hapati mke au ndo anaoa na kuacha?
kama tatizo ni kukaa tanzania muda mfupi, aje akae muda mrefu atapata tu mke. suala la jogoo anawika au hawiki hilo haina haja ya kusema wakati huu. aje tanzania , kama kweli anania ya kuoa, atapata sababu ya kukaa tanzania miezi miwili. ninauhakika akirudi huko atakuwa amepata mchumba. kadiri anavyozidi kujionyesha kuwa yeye yupo bize , ndovyo atakavyo kimbiwa na wanawake.ni nani angependa kufanya maisha na mtu ambaye hata kwenye kutafuta huyo mchumba hana nafasi, je ktk ndoa itakuaje?
Okada, hebu mwambie anitumie tiketi na pesa za visa fasta kabla wengine hawajaniwahi! Lol
Mwambie mke mwema anapatikana ili mradi amuombe MUNGU.
Si aende kule kijijini kwetu machame atawakuta wife materialz wamejaa tele?
Hii kali umesema hataki wa kutafutiwa sasa unatafuta ushauri gani hapa?! Nashindwa kutoa ushauri maana huwezi kumwambia mtu nenda holiday inn kajizungushe zungushe pale utaona tu vibinti vinaingia! Huyo jamaa apende asipende lazma ww/washkaji wamu-hook up na mtu mtakaeona labda wanaendana ajaribu bahati yk,kama yy mwenyewe hawezi kumendea lol.
umemaliza lol hahaha
Nenda kwenye makanisa ya walokole kule kuna wadada weengii wamekimbilia huko kuombewa kupata wachumba kuna walioahidiwa kupata wachumba so mcheki tu Nabii atakuunganisha na utakayempenda:lol:
Amavubi umenivunja mbavu! Acheni utani jamani mwenzenu anamtafutia kaka mke.....kuna mshkaji ana tatizo kama hili kabisaa na age ni hiyo2 na yuko US sasa duuuh imenishtua kidogo isije ikawa yeye.
Kuokoka waaapi ulidanganywa si king'aacho ni dhahabu dini si ishu kabisa mbona ndoa kibao za mseto watu wanapeta tuuu hakyanani nawaambia kule makanisa ya walokole ndo kwenyewe angalia idadi kubwa ya wanawake wanaoenda kule wengi ndo ishu hizo zinawapeleka wengine wametendwa na mabazazi so wamemkimbilia Mungu changamieni hiyo dili!!!
Good advice, noted and will be delivered! I am sure in few days he wil introduce himself!
Hahahaaaaa uwiiiiiii mbavu zangu leo....hivi ni kweli haya mambo? Kuna siku nilikua naongea na Dr mmoja(mtu mzima) sasa ktk story kuna kitu tukawa tunabishana kuhusu bible nikamwambia nitoe tuangalie.....akaniambia heee mwenzetu unatafuta mchumba nn mbona unatembea na biblia! Yaani nilichekaaa sana,hv ni kweli mabinti wanakimbilia huko kwaajili ya kutafuta wachumba au ni msemo tu wa siku hizi??
Nimekumbuka; wanawake wengi wa UN ni wife material maana wengi wanakuwa wameachika (MIJIMAMA).......akajaribu hao