afu kuna wale wanaooa afu baada ya miaka kadhaa wanafiwa na wake zao. Wanawaleta Africa wakiwa wamewabebesha nani nanii dah!
dah I wish age yake ingekua kuanzia 30 and below
Hapo kwenye "Jogoo wake anapanda mtungi" wewe umejuaje ? Ama ushawahi kumpiga bodi (chabo) au ulihakikishiwa na aliokwisha wang'wenya ?
Ndoa hufungwa kwa dhana ya upendo, yeye akitafuta wife materail bila upendo ameumia, upendo wa dhati hubeba yote, hakika naamini mwanamke akiupenda atakujali, yaani atakuwa wife material kama unavyotaka. Hata hivyo kama yuko serious, basi aache yote akirudi tz akae atleast 6months atamjua yule amtakaye.
Mke mzuri na mtamu ni yule uliemtongoza mwenyewe, ukamchumbia mwenyewe. Wa kutafutiwa hanogi kabisaaa. Mwambie aje achakarike mwenyewe
Nimecheka sana. Lakini ni ushauri mzuri sana na umesema kweli. Nadhani huku kukaa nje mwa muda mrefu bila kuwa na mwenzako ni shida kubwa sana
Wish nimsaidie, kuna kabinty ningemuwekamo hapa. binty amesettle yule ila duh 40s uko jaman! embu nipe muonekano wake wa nje bs.
Hii siyo siri hata mimi sijaoa 35 naenda 36!. Washichana wetu wa kibongo huku wamecheza sana hawana elimu, kutembelea wanaume tofauti na usister do mwingi sana ingawa ni wa zuri kwa sura!. Kama mimi mfano nimejitahidi ku avoid uhuni, nimeenda shule, nina paper, familia nzuri, kazi nzuri, na my looks ni above average 6'2 lakini bado kupata Mtanzania ni vigumu sana hapa hasa kama uko private. Tanzania ni vizuri zaidi tatizo ni kwamba kama unategemewa kazini ni vigumu kuchukua likizo ndefu na ni vigumu kujuana na mtu kwa muda mfupi! Hili nitatito kubwa sana lol! mfano kwangu sasa Mke ni tatizo kuliko pesa !!. Wanawake wetu waliokuja zamani ni bora wamarkani! lakini kama wamekuja watu wazima kidogo kama kujiendeleza lkielimu ni bora zaidi!
Mwambie kaka aweke tangazo kwenye ze gadian, deilnyuz na ze sitizen kua anataka wife matirio.
Ataje sifa anazotaka,
then watu wafanye intavyuu apatikane wife matirio.
Ila akubali matokeo.
Mwambie aje nimpe mpenzi mwenye kila kitu. Ila tu aokoke na ampende Yesu na kumfanya awe mwokozi wa maisha yake. Akiwa tayari aniPM. I am serious. Kuna kitu sijaelewa hapa mwenzenu hii material ina maana gani? Sisi wa village flavour kuelewa kwetu ni ngumu.
Okada; wewe umeoa? Isije ikawa ni wewe mwenyewe the way unavyomdefend looks like unamjua sana!
I am married to a JF member and we have two beautiful daughters.
Okay; now that the doubt is cleared, l might be able to hook him with a friend of mine, PM me his email address niwainganishe watajuana wenyewe wapige story, she is 32!
Hah kongosho kumbe uko kwenye kinyang'anyiro? Haya nimejitoa mimihujaona post ya kwanza kabisa
ntakupiga manundu
Ina maana huko Marekani hakuna watanzania wanaenda kusoma au kuishi ambao ni wife materials?hii inanipa shida kuaamini.Nadhani kaka yako hajajichanganya au hajafungua macho kuona kile kinamfaa.
Ina maana huko Marekani hakuna watanzania wanaenda kusoma au kuishi ambao ni wife materials?hii inanipa shida kuaamini.Nadhani kaka yako hajajichanganya au hajafungua macho kuona kile kinamfaa.