dah I wish age yake ingekua kuanzia 30 and below
Hizi tabia za kutumia mathird part hapa JF tabia hii itaisha lini? kwani kaka yako hajui kutumia internet?
Kuhusu wife materials anaemfaa nadhani ni cabin clew, maana muwe akiwa New york mama yupo London, hiyo itakuwa imetulia.
he unataka mtoto?
Kaa na mtu mzima akulee full vakesheni.
Ila nshamuwahi
Hizi tabia za kutumia mathird part hapa JF tabia hii itaisha lini? kwani kaka yako hajui kutumia internet?
Kuhusu wife materials anaemfaa nadhani ni cabin clew, maana muwe akiwa New york mama yupo London, hiyo itakuwa imetulia.
Atawajuaje?? na UKIMWI wote huu?
Kongosho,mada yangu ya vekesheni ulinipinga vikali...kumbe na wewe uko humo humo...kibabu kiwe cha kiafrica kiwe kizungu..whats the difference?
Jamani nifafanulieni maana nimeachwa, mwanamke material ni wa aina gani?
Wewe tayari total umedisco, maana ungekuwa ni wife material usingeachwa, ni wewe ndio ungemuacha mwanamume, kwa hiyo un supplement 2 za kufanyia kazi kabla hujaingia kwenye kundi la wife material, labda kwa kukusaidia tu hizi supplement zako ungetueleza sababu za wewe kuachwa, weka mambo hadharani tukusaidie.Jamani nifafanulieni maana nimeachwa, mwanamke material ni wa aina gani?
Hana hata wa kusingiziwa. His past lovers in Tanzania are either married or dead (too sad)!!
Kwahiyo unamaanisha hujui kama kuna Husband material pia? that's means unaweza kuolewa hata na kwaya master wenu kisa ni mlokole mwenzako?Mwambie aje nimpe mpenzi mwenye kila kitu. Ila tu aokoke na ampende Yesu na kumfanya awe mwokozi wa maisha yake. Akiwa tayari aniPM. I am serious. Kuna kitu sijaelewa hapa mwenzenu hii material ina maana gani? Sisi wa village flavour kuelewa kwetu ni ngumu.
Yeye mwenyewe ni Husband Material? Akienda Mwanza atakutana na cotton material, Tanga naUfundi MATERIAL, Mbeya na Hiv & aids material, .........................ooops Sumbawanga na Wanga Material, Arusha na Lema material, Kigoma na wese material, Shinyanga na Red Eyes materials......the list goes on and on