Geofrey Maseta
JF-Expert Member
- Nov 24, 2015
- 1,115
- 916
Kutoka mby hadi tunduma ni saa 1 kutoka tunduma hadi laela ni masaa 2 kutoka laela hadi sumbawanga ni saa 1..natokea mkoa wa Rukwa ktk mji mdogo wa laela ...yamposuta..mwatwima kani
Bonde la ziwa Rukwa ..muze,zimbaMwalimu... Naomba nielekeze sehemu wanalima kitunguu swaumu hapo Swanga
Tataitu mkombePosuta!
Masaa 6Kutoka mbeya hadi sumbawanga inachukua muda gani
Kwa sasa Bado ipo japo sio saaanaNimekaa hapo mjini Sumbawanga miaka ya tisini mwishoni, huwa kuna shida kubwa ya maji kiangazi, sijui hali ikoje kwa sasa!
Hapana mkuu mzindakaya anaishi sumbawanga hajahama eneo analo ishi linaitwa majengo kilimaniMleta mada usipende kuwatoa wenzako toba. Kama umekula hela za wafipa tafadhali warudishie wenyewe usitake kutuuza kwa kutuambia tuje huko kutafuta maisha wakati wafipa wenyewe kina Mzindakaya, Pinda wamekukimbia kwao. Huko noma aisee, watu wanafanya shopping chini ya ziwa Tanganyika na kwenda juani (sayari ya jua) kununua radi ya kuwapigia adhabu wenzao, si hatari hii? Baki peke yako huko na roho yako ngumu.
Mkuu ulisoma jangwani kumbe ila sasa ivi ile shule ili gawanywa moja iliitwa jangwani na nyingine kiwelu sijui unalijua hiloHats Mimi ntatidi swanga one day! 32 yes ago I was a kid in sumbawanga residing at regional block. Nilianza std one jangwani pr school. Mama angu akifundisha s/m sumbawanga. Nataka nitembelee kanisa katoliki nilisali sana pale. Ntapita shuleni kwangu, ntakwenda s/m sumbawanga waliposoma my elder sister, my late elder brother and my late mother. Ntakaa chini ntalia kwa uchungu sana kwa heshima yao. Ntapita katandala nasikia ni mji sasa hivi. Ntaibukia regional block halo nadhani furaha yangu itakuwa kubwa sana ntazunguka pale pots. King'ombe mbali ila kuna siku tulienda cheza karibia na king'ombe. Tutakaa chini ya mti mkubwa tunachezea Magari ya waya bila kujua kumbe kulikuwa na mtu kajinyonga ananing'inia. Tulitika bila kujua ila baada ya masaa mawili kuna mama alituona halo kwa mbali akaja kutuambia. Sikulala wiki nzima naogopa
Mbali na wapi?Nani akakae huko mbali hivyo
Mkuu umekisahau chikanda chakula maarufu sumbawanga wenyeji wanaita nyama ya kifipa nitamu hamna mfanoNtapita noremco Sijui km bado panaitwa hivyo, mpango kabambe wa maji. Kwa juu yupo Bainz, matajiri Wa swanga enzi hizo. Tukitaka suti viatu kwa Bhojak! Hahaaa. Izia kizwite, bangwe. Chanj, swanga wenyeji. Halafu watani zangu wafipa nataka migagi, nyanya poli na nyanya mpwimpwi. Hahaaa msininyime nswa.
Ntapita noremco Sijui km bado panaitwa hivyo, mpango kabambe wa maji. Kwa juu yupo Bainz, matajiri Wa swanga enzi hizo. Tukitaka suti viatu kwa Bhojak! Hahaaa. Izia kizwite, bangwe. Chanj, swanga wenyeji. Halafu watani zangu wafipa nataka migagi, nyanya poli na nyanya mpwimpwi. Hahaaa msininyime nswa.
Awe mazala wikoloKutoka mby hadi tunduma ni saa 1 kutoka tunduma hadi laela ni masaa 2 kutoka laela hadi sumbawanga ni saa 1..natokea mkoa wa Rukwa ktk mji mdogo wa laela ...yamposuta..mwatwima kani
Dah thanks for info kamanda sikulijua hiloMkuu ulisoma jangwani kumbe ila sasa ivi ile shule ili gawanywa moja iliitwa jangwani na nyingine kiwelu sijui unalijua hilo
Tuko pamoja mkuu karbu tena sumbawangaDah thanks for info kamanda sikulijua hilo
Hahahaaa swemwi tulu kupwanyiAwe mazala wikolo
Mlumendo ukuchita chani kukoHahahaaa swemwi tulu kupwanyi