Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,338
Sanaaaaa hasa wa maji baridi,hawa wa maji chumvi nakula ni vile sina jinsi.Karibu saaana Nifah unapenda saana samaki
Na kuku wa kienyeji wapo kwa wingi eeeh?

Sanaaaaa hasa wa maji baridi,hawa wa maji chumvi nakula ni vile sina jinsi.Karibu saaana Nifah unapenda saana samaki

Mto wisa ni maeneo karibu na ziwa, hata hivyo ni muujiza gani kulima ziwani ila unaweza ukalima pembezoniMkuu ziwa Rukwa ndo maarufu kwa jina la mtowisa
Yamposuta mkombe...mwee! Uko sehemu gani?Ndani ya Rukwa
Ndipo yalipo Makao makuu ya mkoa
Tata mweee, ichilanda na nswa safi sana.Majumbasita, kantalamba nk
Karibu.
Kwa kweli najua kuitikia salaam tu bado sijakijua vizuriTata mweee, ichilanda na nswa safi sana.
Uwe unajibu Taataitu!Kwa kweli najua kuitikia salaam tu bado sijakijua vizuri
Mwatuli, mwalindauli, ..sante karesaa, kulichiii,Uwe unajibu Taataitu!
Huyo mchaga mliongea nae akakwambia anaweza kununua VOLVO! Heb acha nkubal kua uoga wang ndo umackn wang ila tambua hatuish kwa kuangalzia kama kwny chumba cha mtihan na hatuwez kuja wote maana kutusua co lazma watu waje huko, huon jiji kama la Dar watu wakpungua mandhar yataharbka!!Kuna mchaga alikuja akiwa masikini kwa sasa ana uwezo wa kununua Volvo truck n trailer mpya km 0.
Mimi nakaribia kustaafu na si mwalimu.
Kwa kifupi uoga wako ndio umasikini wako.
Mkuu hili game halihtaj hasira heb pumua kwanza af futa jasho, hongera kwa kua na Masters na hongera kwa kufanya kaz maana vyote n vyako.Mgawanyo wa kazi usikufanye kuwa na dharau, kama yeye mwalimu wa nursary wewe inakuhusu nini? Kwa taarifa yako hata wenye elimu na kazi nzuri wapo hapa na huo uchawi unaoongelea ni mawazo ya kizamani, inamaana wewe bado una fikra za miaka ya 70, OK Mimi Nina masters nafanya kazi hapa Sumbawanga, wewe una elimu gani na unafanya kazi wapi kusikowachawi? Don't be ignorant!
waache wakomae na jiji,kizazi chetu kimelaaniwa aisee,kila kijana anataka ake dar eti ndio mjanja,wakirudi mikoani wanakuta watu wamepiga hatua wanaona noma kwa kujichelewesha huko mjini,mwisho wanaamua kubakia jijini na kuwa WANAUME WA DAR,bandiko zuri sana hili mkuu,nimefurahi kwa kufunguka na kuwa wazi kwa watanzania wenzako wanaopenda kubanana DAR,huwa siwaelewi kabisa..Tofauti na mikoa mingine huku maisha ni nafuu sana
Pia kuna fursa za aina tofauti hasa kilimo uvuvi na mifugo
Gharama za ujenzi ni nafuu.
Na hali ya hewa ni nzuri kupindukia
Nafikiri kustaafia Sumbawanga
Kuanzia Laela,Mpui,Tamasenga mpaka Luiche kila kitu ni kinono hasa kwa sisi tupendao chicha la asili.
Karibu mjionee hakuna taabu ya foleni,maji kelele wala uchafuzi wa mazingira.
Halafu tunapakana na nchi mbili Congo na Zambia
Kama kichwa yako haina mchanga mchanga na inawaza mema hii ndio sehemu ya kukimbilia.
Haiwezekani atoke binti Kenya anunue ardhi na kuwekeza na wewe umekaa hapo Dar unawaza mambo ya Dushe na papuchi.
Anatumia hati ya Ardhi yake kukopa ma bilioni
kijana amka hapo.
![]()
Hakuna foleni
njoo huku.
![]()
Ukichelewa shauri zako.
![]()
Plot utapata kwa sh laki tatu..
Sasa unafanya nini huko mjini?
Majuto ni mjukuuu
mimi nahisi jamaa amemaanisha mikoani kwa ujumla kuna fursa,sio kila mtu lazima aishi dar tu,pia acha kuendekeza ushirikina,hiyo ni dalili ya uvivu,kwaio unaona kuishi dar kwa kufanya ukuwadi ndio ujanja?amka bado haujachelewa mkuu..HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA.huko noma watu wanazuia mvua wanazuia jua mtu anaweza akaleta mvua shambani mwake tu jua linauzwa kwa ajili ya kukomoa watu ukimkera mtu jiandae kutumiwa radi ni kitu cha kawaida sana
Japo hujaniuliza Mimi lakini kwa kuwa nipo hapa mjini naweza kujibu?mkuu @nzaleno dagaa wa kigomsa wapo huko? naweza pata mtu anitumie Mbeya?
nijibu mkuu.Japo hujaniuliza Mimi lakini kwa kuwa nipo hapa mjini naweza kujibu?
Umeandika kama utani lakini umenigusa sana, ni poiti tupu tunangangania viosk mjini badala ya kurudi kupiga kazi za kueleweka mjini. Nina milioni kumi nafanya tafiti ni kilimo gani kati ya alizeti, ufuta, njegere n.k. kitanitoa na sehemu gani kwenye mikoa ambayo haijabanana kati ya lindi, morogoro, pwani na sumbawangaTofauti na mikoa mingine huku maisha ni nafuu sana
Pia kuna fursa za aina tofauti hasa kilimo uvuvi na mifugo
Gharama za ujenzi ni nafuu.
Na hali ya hewa ni nzuri kupindukia
Nafikiri kustaafia Sumbawanga
Kuanzia Laela,Mpui,Tamasenga mpaka Luiche kila kitu ni kinono hasa kwa sisi tupendao chicha la asili.
Karibu mjionee hakuna taabu ya foleni,maji kelele wala uchafuzi wa mazingira.
Halafu tunapakana na nchi mbili Congo na Zambia
Kama kichwa yako haina mchanga mchanga na inawaza mema hii ndio sehemu ya kukimbilia.
Haiwezekani atoke binti Kenya anunue ardhi na kuwekeza na wewe umekaa hapo Dar unawaza mambo ya Dushe na papuchi.
Anatumia hati ya Ardhi yake kukopa ma bilioni
kijana amka hapo.
![]()
Hakuna foleni
njoo huku.
![]()
Ukichelewa shauri zako.
![]()
Plot utapata kwa sh laki tatu..
Sasa unafanya nini huko mjini?
Majuto ni mjukuuu