Disposal
JF-Expert Member
- Oct 22, 2013
- 285
- 78
Hats Mimi ntatidi swanga one day! 32 yes ago I was a kid in sumbawanga residing at regional block. Nilianza std one jangwani pr school. Mama angu akifundisha s/m sumbawanga. Nataka nitembelee kanisa katoliki nilisali sana pale. Ntapita shuleni kwangu, ntakwenda s/m sumbawanga waliposoma my elder sister, my late elder brother and my late mother. Ntakaa chini ntalia kwa uchungu sana kwa heshima yao. Ntapita katandala nasikia ni mji sasa hivi. Ntaibukia regional block halo nadhani furaha yangu itakuwa kubwa sana ntazunguka pale pots. King'ombe mbali ila kuna siku tulienda cheza karibia na king'ombe. Tutakaa chini ya mti mkubwa tunachezea Magari ya waya bila kujua kumbe kulikuwa na mtu kajinyonga ananing'inia. Tulitika bila kujua ila baada ya masaa mawili kuna mama alituona halo kwa mbali akaja kutuambia. Sikulala wiki nzima naogopa
mkuu jangwani mwaka gani nilisoma pale