Bwana Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 4,364
- 9,443
sisi inatuhusu nini?Oktoba tunatiki kwa mama.
NO REFORM NO ELECTION
sisi inatuhusu nini?Oktoba tunatiki kwa mama.
Utapewa kesi ya ugaidiMimi niliitamani ya NRNE 2025, shida wanaweza wasikubali kutoa kibali mabwinga.
Mmmh! Ndio sababu Kila siku ana hasiraYuko menopause huyo analea wajukuu ujue😂😂😂
🤣Hahahaha.. Kisukari kikipanda ndivyo alivyo.. Msamehe bure
Oktoba sisi tunatiki kwa mama Samia.sisi inatuhusu nini?
NO REFORM NO ELECTION
NO REFORM NO ELECTIONOktoba sisi tunatiki kwa mama Samia.
Una kipaji kikubwa cha muziki wa taarabTuna utararibu wa kuwa na plate number binafsi pale mambo yanapokuwa ahueni
Nimejitafuta nimejipata nimetungua Ford raptor ya kijani full body..
Nimeona mitaani kuna plate number special kama T 2030 SSH. Basi na mimi nimeona niwe na hii T 107 TZA
mawazo yenu muhimu kwenye hili
View attachment 3376694
Raptor ni highest trim level katika pick up za FORD, Sio modelSawa mkuu Ila hakuna niliposema ni Ford ranger.. Hiyo ni Ford Raptor
Zote ni line ya Raptor iwe hiyo ya USA au kwingineko..sema za USA nyingi zinakua V 8 body kubwa na Suspension tofauti na hizi Raptor ambazo sio F 150...Raptor ni highest trim level katika pick up za FORD, Sio model
Inaweza kua Ford Ranger Raptor au Ford F-150 Raptor
Mkuu ni Ford Ranger Raptor hakuna makosa hapo...Sawa mkuu Ila hakuna niliposema ni Ford ranger.. Hiyo ni Ford Raptor
Pamoja mkuu.Sawa mkuu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿