mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 760
- 1,037
Nakazia,mtu mzima HALINDWI.Kwanza lengo la kushikiana simu ni nini?
Kama ni kukaguana/kulindana na kufuatiliana basi jibu langu ni big No.
Mtu mzima na akili zake timamu akiamua jambo lake atalifanya tu
Lakini ni heri kuliko kuishi kwa mashaka kila sikuMtaachana afu utashangaa alikuwa mtamu kweli kwa bed,daah....ndo ushapoteza
Jibu ni ndioJibu "Ndiyo " au "Hapana"
Ndio wanapaswa kuwa huru.Je wapenzi wanapaswa kuwa na uhuru, kila Moja na simu ya mwenzake?
Jibu "Ndiyo " au "Hapana"
Kwanini?
Faida zake ni zipi?
Hasara zake ni zipi? View attachment 2784316
Mpaka uje kuona anabadilika ashakuletea UTI sugu,magonjwa ya gono,ukimwi na kama ni mwanaume mtoto/watoto wa mwanaume mwingine.Hakuna faida ya kukaguana simu, mapenzi yakiisha si utaona tu mtu anavyobadilika?
Kwanini uishi kwa mashaka na simu ya MTU mkuu?Lakini ni heri kuliko kuishi kwa mashaka kila siku
🤣🤣🤣🤣Jamaa akiishika lazima aibamize tu, kilichomo humo kimaandishi kutamuua kwa pressure 🤣🤣
Dada nimekuelewa sana, natamani siku moja nipate mpenzi mwenye upeo kama wako kuhusu hili swala la simu. Wapuuzi naowapata simu zao kama usalama wa taifa jinsi wanavyozificha kuzizoom ndani.Nikiwa kwenye ndoa au sirious relationship sim ya mpenzi wangu ni lazima nishike na nikague nn anafanya kwenye sim yake kwasabab dunia ya saiz zaid ya 80% ya tabia za mtu zipo ndani ya simu so siwez kuacha kukagua sim. Kukwepa kushika sm ya mpenz ni sa na kula funza gizani ukategemea unakuka chakula salama hiyo hali siwezi kabisa. Na yey namruhusu ashike yangu tena nampa na password
Kukagua ni kitu kingine, hilo ni kosa.Unakagua simu yangu huniamini? Na kwa nini ufanye ukaguzi, hujiamini?
Hata kukagua sio kosa pia.Kukagua ni kitu kingine, hilo ni kosa.
Swala ni kushika au kuitumia inapobidi.
Na mtu hawezi kukuamini blindly, lazima mtengeneneze mazingira ya kuaminiana.
Sasa mtu anakuaminije wakati simu yako unaficha.
Shindikanika sasaMie simu ya mtu sishiki. Yangu akijisikia ashike ila so long ni simu yangu basi sitaki maswali. Ukikutana na usivyovielewa ni kwakuwa sio simu yako.
Aaah wapi!🤣🤣🤣🤣🤣
Hamna, ni vifungu vya Biblia tu vimejaa.
🤣🤣🤣🤣🤣Shindikanika sasa
Unachokitafuta utakipata🤣🤣🤣"Mithali 31:27
[27]Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake;
Tunashikiana simu, tunakaguana, tunachunguzana. Hata circle yake, lazima niichungulie
Acha ubishi basi🤣🤣Aaah wapi!🤣
You are missed big time furushi ake,,🥰🥰🤣🤣🤣🤣🤣
Dota yo missed😍