Teamubwabwa
Senior Member
- Jul 7, 2015
- 172
- 59
Mgombea uraisi wa UKAWA akiwa katika kusaka wadhamini
MBEYA:
Akiwa mbeya amesema kipa umbele chake cha kwanza ni kutatua kero za maskini wa nchi hii kwa kuunda serikali itakayohakikisha babu seya anaachiliwa huru kutoka gerezani.
ARUSHA:
Akiwa arusha ametuhakikishia kuwa analifahamu tatizo la General Tyre.
MWANZA:
Akiwa mwanza ametuhakikishia kufahamu tatizo la samaki na meli ya mv bukoba.
Kwakweli nimemkubali mheshimiwa EDO kwa matatizo haya ameonyesha ukomavu na jinsi anavyo uchukia umaskini. Kwa miaka yake mitano atakuwa ameyatatua matatizo yetu watanzania.
Buree kabisaaa.