Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,112
- 110,861
Au iPhone 9....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Samsung age 7?
Post sent using JamiiForums mobile app
Au iPhone 9....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Samsung age 7?
Post sent using JamiiForums mobile app
Sawa.ukiipata tuambieKwanini nipoteze muda wakati leo Nilikua Polisi wamesema kuna polisi wataalamu wanaitafuta line itakayotumika ilimradi ninayo IMEI namba.
Post sent using JamiiForums mobile app
Atakua Ngeleja huyoLabda kama aliyekuibia kaipeleka TCRA
Wapigie provider wataifunga mkose woteMwana JF Naomba kuuliza kama kuna mtu Mwenye kujua hili.
Ninayo IMEI namba ya simu.
Post sent using JamiiForums mobile app
hili ni jibu sahihiNenda polis kafungue kesi pata RB baadae kesi yako ikipata mpelelezi yeye ndiye mnaenda naye kwenye mtandao uliokuwa unatumia wanaitrack itaonekana mahali ilipo na anayeitumia na mpaka third part wa anayetumia kwasasa..
.
Kwenye mitandao ya simu au tcra hawawezi kukupa msaada bila kuwa na askar.
Kweli kabisa Hans PolMkuu umenena bonge la point, una kuta mtu ana miliki hizo simu wanazo taka kila mtu awe nayo lakini sasa cha maana anacho fanya via hiyo simu hakipo zaidi kuingia humu jf nakuandika comments za kashfa tu.
Japo wanasema jf ni kwa watu ambao ni great thinker labda ilikuwa zamani enzi za desktop na simu za symbian lakini sasa hivi wengi walio humu uwezo wao wa kufikiri ni 1kb.
Hans Pol
Albadili ni maombi ya kuombea mwizi aache wizi ili amrudie Mungu wakeshukuru Mungu tu au muadhibu kwa albadili.......ukianza kufuatilia TCRA mara polisi itakutoka hela nyingi na muda utaupoteza bila ya mafanikio...
Umeona eeh walio wengi hujifanya mambo safi lakini ki uhalisia ni makapukuwatu wa jf kujifanya wa kishua....kumbe un'ya mtupu (in benas voice)
Twambbbbbbieeewatu wa jf kujifanya wa kishua....kumbe un'ya mtupu (in benas voice)
Nikishindwa yote ndonitafanya hili.Wapigie provider wataifunga mkose wote
Mwambie jambazi mwenzio basi anirudishie.Endelea kutumia hyo simu uliyotumia kupost hapa jf... Ukiendelea kuifuatilia utapoteza mda wako na hela halafu isipatikane
Asante mkuu kwa ushauri.Nenda katoe taarifa polisi then polisi watakuandikia barua ambayo unaeza peleka kwenye mtandao uliokua watumia then kule utapata kitu chaitwa printouts, ukishapata hyo printouts basi kazi itakua imepungua kwani mpaka waeza fuatilia hta wewe mwenyewe anaetumia simu yako kikubwa utahitaji escort ya polisi kwenda kumkamata mtuhumiwa waking BTW waeza nicheck kwa msaada zaidi
Mkuu hawa polisi ni kazi bure kabisa. Badala ya kufanya kazi zao wanadai hela.Asante mkuu kwa ushauri.
Post sent using JamiiForums mobile app
HOW TO TRACE A MISSING OR STOLEN PHONE:Mwana JF Naomba kuuliza kama kuna mtu Mwenye kujua hili.
Ninayo IMEI namba ya simu.
Post sent using JamiiForums mobile app
Umewahi kujaribu kama inafanya kazi, au ndio kupotezeana muda.HOW TO TRACE A MISSING OR STOLEN PHONE:
If you lose your mobile phone, you can trace it
without going to the police.
Most of us always fear that our phones may be
stolen at any time.
Each phone carries a unique
IMEI no. i.e. International Mobile Equipment
Identity No which can be used to track it
anywhere in the world.
This is how it works:
1. Dial *#06# from your mobile.
2. Your mobile phone shows a unique 15 digit.
3. Note down this number at a secure place
except in your mobile phone itself as this is the
number which will help trace your phone in case
of theft.
4. Once stolen, just E-mail this 15 digit IMEI
No. to cop@vsnl.net with details as stated
below:
Your name:____________________
Address:______________________
Phone model:_________________
Make:_________________________
Last used No.:_________________
E-mail for communication:_____
Missed date:___________________
IMEI No :_______________________
5.Your Mobile will be traced within next 24
hours via a complex system of GPRS and
internet, You will find where your hand set is
being operated and the new user's No . will be
sent to your email.
6. After this, you can inform the Police with
the details you now have.
Please Share This Very Important Message To Your Family And Friends
Nimejaribu mkuu nitaleta mrejesho.HOW TO TRACE A MISSING OR STOLEN PHONE:
If you lose your mobile phone, you can trace it
without going to the police.
Most of us always fear that our phones may be
stolen at any time.
Each phone carries a unique
IMEI no. i.e. International Mobile Equipment
Identity No which can be used to track it
anywhere in the world.
This is how it works:
1. Dial *#06# from your mobile.
2. Your mobile phone shows a unique 15 digit.
3. Note down this number at a secure place
except in your mobile phone itself as this is the
number which will help trace your phone in case
of theft.
4. Once stolen, just E-mail this 15 digit IMEI
No. to cop@vsnl.net with details as stated
below:
Your name:____________________
Address:______________________
Phone model:_________________
Make:_________________________
Last used No.:_________________
E-mail for communication:_____
Missed date:___________________
IMEI No :_______________________
5.Your Mobile will be traced within next 24
hours via a complex system of GPRS and
internet, You will find where your hand set is
being operated and the new user's No . will be
sent to your email.
6. After this, you can inform the Police with
the details you now have.
Please Share This Very Important Message To Your Family And Friends