Nimeibiwa simu Tecno W5 naweza kuipata kupitia TCRA?

Nimeibiwa simu Tecno W5 naweza kuipata kupitia TCRA?

Wewe ukiandamana hata iwe imezimwa hiyo sim watakupata ila umeibiwa tu hapana wewe lia na wakwenyu
 
Haya mambo ya kuponda simu ya mtu naona ni ya kishamba sana. Mtu hujikuna pale mkono unapofikia.
Zaidi ya signature kueleza aina ya simu, sijaona utofauti wowote wa michango ya mtu anayetumia tecno, iphone, samsung, htc, vodafone, h8401, h8501, lg n.k
 
Haya mambo ya kuponda simu ya mtu naona ni ya kishamba sana. Mtu hujikuna pale mkono unapofikia.
Zaidi ya signature kueleza aina ya simu, sijaona utofauti wowote wa michango ya mtu anayetumia tecno, iphone, samsung, htc, vodafone, h8401, h8501, lg n.k

Simu status baba angu naona unajaribu kuhalalisha njaa zako.
 
Mwana JF Naomba kuuliza kama kuna mtu Mwenye kujua hili.
Ninayo IMEI namba ya simu.

Post sent using JamiiForums mobile app
Nenda polisi ukiwa na uthibitisho wa umiliki (risiti)

Fungua jalada hapo , then polisi watakuandilia barua ambayo utaipeleka kwenye ofisi kuu za mitandao ya simu kwa kila mtandao.. Hapo wao utawaonesha ushahid wako na wao basi watakwambia imei yako inatumiwa ba namba gan..

Then watakupa na call log ya hiyo namba..

Meneja wangu aliibiwa il hizo details kapewa na anajua simu yake inatumika sana ikiwq mtaa gan .. Ndio wanaplot kumdaka huyo binti mwenye simu.

Ila hela za kiwi zitakutoka tu

Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile app
 
Yap.utaipata.uwa wanazipiga photocopy

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Pole sana kwa Masaibu yaliokupata. Kama una hela nunua simu nyingine. Mtiririko wa matukio na utaratibu wa kuipata simu yako ni GHARI zaidi!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
kama kumshauri hatuwezi haina haja ya kumponda kwa kuwa tunatofautiana uwezo baina ya mmoja na mwingine.
 
Pole sana kwa Masaibu yaliokupata. Kama una hela nunua simu nyingine. Mtiririko wa matukio na utaratibu wa kuipata simu yako ni GHARI zaidi!

Post sent using JamiiForums mobile app
Ghali kivipi mkuu.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hauwezi kuipata....simu siku hizi watu wanauza vizaa vinabei kubwa kuliko simu ikiwa nzima... Yaani kioo, betri., kamera hardware za ndani. Utapoteza muda na pesa bure. Siku hizi spare part zinadeal sana.
 
Nenda polisi ukiwa na uthibitisho wa umiliki (risiti)

Fungua jalada hapo , then polisi watakuandilia barua ambayo utaipeleka kwenye ofisi kuu za mitandao ya simu kwa kila mtandao.. Hapo wao utawaonesha ushahid wako na wao basi watakwambia imei yako inatumiwa ba namba gan..

Then watakupa na call log ya hiyo namba..

Meneja wangu aliibiwa il hizo details kapewa na anajua simu yake inatumika sana ikiwq mtaa gan .. Ndio wanaplot kumdaka huyo binti mwenye simu.

Ila hela za kiwi zitakutoka tu

Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile app
Asante kwa ushauri.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom