Nimeibiwa simu na mwanamke leo asubuhi

Nimeibiwa simu na mwanamke leo asubuhi

Huyu binti nilimpata wiki mbili zilizopita tulikutana nae Buhongwa stendi Mwanza mida ya usiku saa 5 akaniuliza ni wapi atapata magari ya kwenda Misungwi kwa muda ule akanambia huku yeye ni mgeni.

Mimi nikamwambia kwa muda huu huwezi kupata gari. Akaonekana kuwa mnyonge sana. Kama mnavojua ujana, nikaona mbuzi kafia kwa muuza supu nikamwambia kama vipi twende kwangu ulale kesho uendelee na safari. Kweli akakubali tukaenda home usiku nikapiga shoo bila kutongoza kesho yake asubuhi akasepa ila tukaendelea kuwatunawasiliana.

Sasa jana asubuhi akanicheki akanambia kaja kwa sister wake mitaa ya Nyegezi tukakubaliana jioni au usiku atakuja kunitembelea. Kweli mida ya saa 3 usiku akawa amefika kitaa nikaenda kumchukua

Usiku tumelala fresh, sasa asubuhi nilikuwa na miadi ya kwenda Nyegezi stendi kutuma mzigo fulani nikawa nimemwambia akanambia freshi nitamkuta. Nikawa nimemwacha room pia ninaishi na dogo wa kiume naye yupo room kwake nikawa nimesepa.

Aiseee kuja kurudi binti hayupo na niliacha simu moja aina ya infinix kwenye charge nayo haipo.

Daah! Imeniuma sana sikutegemea
Acheni umalaya .hizo ndo faida za umalaya ndo ukome ujana maji ya moto .moto wenyewe ndo huo
 
Huyu binti nilimpata wiki mbili zilizopita tulikutana nae Buhongwa stendi Mwanza mida ya usiku saa 5 akaniuliza ni wapi atapata magari ya kwenda Misungwi kwa muda ule akanambia huku yeye ni mgeni.

Mimi nikamwambia kwa muda huu huwezi kupata gari. Akaonekana kuwa mnyonge sana. Kama mnavojua ujana, nikaona mbuzi kafia kwa muuza supu nikamwambia kama vipi twende kwangu ulale kesho uendelee na safari. Kweli akakubali tukaenda home usiku nikapiga shoo bila kutongoza kesho yake asubuhi akasepa ila tukaendelea kuwatunawasiliana.

Sasa jana asubuhi akanicheki akanambia kaja kwa sister wake mitaa ya Nyegezi tukakubaliana jioni au usiku atakuja kunitembelea. Kweli mida ya saa 3 usiku akawa amefika kitaa nikaenda kumchukua

Usiku tumelala fresh, sasa asubuhi nilikuwa na miadi ya kwenda Nyegezi stendi kutuma mzigo fulani nikawa nimemwambia akanambia freshi nitamkuta. Nikawa nimemwacha room pia ninaishi na dogo wa kiume naye yupo room kwake nikawa nimesepa.

Aiseee kuja kurudi binti hayupo na niliacha simu moja aina ya infinix kwenye charge nayo haipo.

Daah! Imeniuma sana sikutegemea
Na ukapime pia,tukutane Angaza
 
Ulivokua unakula mbususu ya kuokota hukuomba ushauri, baada ya kuibiwa ndiyo unatuambia, kwahiyo sisi ni ndugu wakati wa shida tu ,raha wala huna habari? Pole jaribu kuongea naye vizuri na umwambie unampeleka polisi labda ataogopa.
 
Huyu binti nilimpata wiki mbili zilizopita tulikutana nae Buhongwa stendi Mwanza mida ya usiku saa 5 akaniuliza ni wapi atapata magari ya kwenda Misungwi kwa muda ule akanambia huku yeye ni mgeni.

Mimi nikamwambia kwa muda huu huwezi kupata gari. Akaonekana kuwa mnyonge sana. Kama mnavojua ujana, nikaona mbuzi kafia kwa muuza supu nikamwambia kama vipi twende kwangu ulale kesho uendelee na safari. Kweli akakubali tukaenda home usiku nikapiga shoo bila kutongoza kesho yake asubuhi akasepa ila tukaendelea kuwatunawasiliana.

Sasa jana asubuhi akanicheki akanambia kaja kwa sister wake mitaa ya Nyegezi tukakubaliana jioni au usiku atakuja kunitembelea. Kweli mida ya saa 3 usiku akawa amefika kitaa nikaenda kumchukua

Usiku tumelala fresh, sasa asubuhi nilikuwa na miadi ya kwenda Nyegezi stendi kutuma mzigo fulani nikawa nimemwambia akanambia freshi nitamkuta. Nikawa nimemwacha room pia ninaishi na dogo wa kiume naye yupo room kwake nikawa nimesepa.

Aiseee kuja kurudi binti hayupo na niliacha simu moja aina ya infinix kwenye charge nayo haipo.

Daah! Imeniuma sana sikutegemea
Kimasihara imekuponza[emoji16]
 
sasa si ulijipigia kimasihara?

na yeye kajilipa kimasihara!!!!!
 
huo mguu wa tatu utakuja kukuponza zaidi ya hapo yaani mtu humjui mnkutana tu usiku unampeleka kwako unategemea nini tena usichokijua ni ke wa sikuhizi ni mafia kuliko hata me,we endekeza chini tu mtakuja chunwa ngozi
 
Endelea kuwasiliana nae mkuu. Mkaribishe tena labda kuna kitu kasahau kuchukua. Kwani TV yako ikoje?
Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje

Sent from my MI 8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom