Nimeibiwa simu na mwanamke leo asubuhi

Nimeibiwa simu na mwanamke leo asubuhi

Cha ajabu sasa kesho na keshokutwa akitokea mwingine utataka kutoa msaada tena.

Ganga yajayo hapo Mkuu sababu yote yaliyotokea we mwenyewe ndo msababishi.
Nimejifunza kitu
 
Huyu binti nilimpata wiki mbili zilizopita tulikutana nae Buhongwa stendi Mwanza mida ya usiku saa 5 akaniuliza ni wapi atapata magari ya kwenda Misungwi kwa muda ule akanambia huku yeye ni mgeni.

Mimi nikamwambia kwa muda huu huwezi kupata gari. Akaonekana kuwa mnyonge sana. Kama mnavojua ujana, nikaona mbuzi kafia kwa muuza supu nikamwambia kama vipi twende kwangu ulale kesho uendelee na safari. Kweli akakubali tukaenda home usiku nikapiga shoo bila kutongoza kesho yake asubuhi akasepa ila tukaendelea kuwatunawasiliana.

Sasa jana asubuhi akanicheki akanambia kaja kwa sister wake mitaa ya Nyegezi tukakubaliana jioni au usiku atakuja kunitembelea. Kweli mida ya saa 3 usiku akawa amefika kitaa nikaenda kumchukua

Usiku tumelala fresh, sasa asubuhi nilikuwa na miadi ya kwenda Nyegezi stendi kutuma mzigo fulani nikawa nimemwambia akanambia freshi nitamkuta. Nikawa nimemwacha room pia ninaishi na dogo wa kiume naye yupo room kwake nikawa nimesepa.

Aiseee kuja kurudi binti hayupo na niliacha simu moja aina ya infinix kwenye charge nayo haipo.

Daah! Imeniuma sana sikutegemea
Sasa hiyo K ulikuwa unaisokota bure.....
hayo ndio malipo yake
 
Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje
Mimi nakushauri baada ya miezi mitatu upime H.I.V
 
Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje
Endelea kumtafuna
 
Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje
Kwenye hili nisiwe mnafiki. Hautapata ushauri wa maana zaidi ya kukuambia karipoti tukio la wizi kituo cha polisi.

Next time ukiokota loose ball ndo uombe ushauri kabla haujauingiza gheto
 
Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje
Mfuate aliko ukaile tena
 
Kama una imei number, unaweza kuripoti Polisi wakatrace na kumpata mwizi na simu yake.
Yaani badala ya kuwekeza nguvu za kupambana na uhalifu mkubwa tuanze kuhangaika na binti aliyejilipa ujira wake kwa kupigwa shoo siku mbili bila malipo?

Huyu jamaa kwanza ni mzembe, yaani unakutana na mtu usiku wa saa tano (humjui) then unampeleka nyumbani kwako? Like serious?????

Tena ashujuru Mungu huyo binti inaonekana ni muungwana, kuchukua simu pekee, angekuwa mwingine mpaka roho ya jamaa angeondoka nayo!
 
Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje
Amekwambia alipata dharula.Sasa,ukipata dharula utatembea kama unaenda kutupa taka jalalani?Lazima uondoke mbio huku unapiga na king'ora kwa mdomo.
 
Huyo ni jambazi ana mbinu sana huyo.Ety anakumind umemuita mwizi🤣🤣🤣🤣
 
Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje
Huyo jirani huenda ndiye aliyejitwisha simu yako muulize vizuri
 
Muite tena ule mzigo!😁.

Kuna watu mna visanga.
 
Kama una imei number, unaweza kuripoti Polisi wakatrace na kumpata mwizi na simu yake.
Police hawakogo serious kutrack simu za bei chee, watakula sana pesa ake tu ukute Infinix ya 250k afu atumie 400k police na simu haipati..

Poteza flagship devices za bei mbaya kama Samsung, iPhone, Oppo, Xiaomi, Google Pixels, OnePlus hapo watashughilika make wanajua kuna ulaji mzuri watakukamua na watamkamua waliemkamata nayo japo nawe utapata mgao kiasi...
 
Back
Top Bottom