Nimeibiwa simu na mwanamke leo asubuhi

Nimeibiwa simu na mwanamke leo asubuhi

Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje
Mwambie aje hapa jf
 
Yaani badala ya kuwekeza nguvu za kupambana na uhalifu mkubwa tuanze kuhangaika na binti aliyejilipa ujira wake kwa kupigwa shoo siku mbili bila malipo?

Huyu jamaa kwanza ni mzembe, yaani unakutana na mtu usiku wa saa tano (humjui) then unampeleka nyumbani kwako? Like serious?????

Tena ashujuru Mungu huyo binti inaonekana ni muungwana, kuchukua simu pekee, angekuwa mwingine mpaka roho ya jamaa angeondoka nayo!
Ila na wanawake wanaroho ngumu sana!!
 
Huyu binti nilimpata wiki mbili zilizopita tulikutana nae Buhongwa stendi Mwanza mida ya usiku saa 5 akaniuliza ni wapi atapata magari ya kwenda Misungwi kwa muda ule akanambia huku yeye ni mgeni.

Mimi nikamwambia kwa muda huu huwezi kupata gari. Akaonekana kuwa mnyonge sana. Kama mnavojua ujana, nikaona mbuzi kafia kwa muuza supu nikamwambia kama vipi twende kwangu ulale kesho uendelee na safari. Kweli akakubali tukaenda home usiku nikapiga shoo bila kutongoza kesho yake asubuhi akasepa ila tukaendelea kuwatunawasiliana.

Sasa jana asubuhi akanicheki akanambia kaja kwa sister wake mitaa ya Nyegezi tukakubaliana jioni au usiku atakuja kunitembelea. Kweli mida ya saa 3 usiku akawa amefika kitaa nikaenda kumchukua

Usiku tumelala fresh, sasa asubuhi nilikuwa na miadi ya kwenda Nyegezi stendi kutuma mzigo fulani nikawa nimemwambia akanambia freshi nitamkuta. Nikawa nimemwacha room pia ninaishi na dogo wa kiume naye yupo room kwake nikawa nimesepa.

Aiseee kuja kurudi binti hayupo na niliacha simu moja aina ya infinix kwenye charge nayo haipo.

Daah! Imeniuma sana sikutegemea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje
Usimsingingizie mtoto wa watu,alikupa bunye bure na wewe ukakenua mimeno ,na kusahau msemo unaosema kula uliwe
 
Sasa huu Uzi umepost kwa simu gani au ulikua nazo mbili, Kama ulikua nazo mbili usijilaumu mkuu chukulia hiyo simu umelipia Hilo tunda ulilokula kimasihara!!
 
Bado anakushawishi,, ili arudi tena akupige tukio.

Nawewe ulivyo wa hovyo, utapigwa tena
 
Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje
Sasa huyo si mpakie mkongo chupa 1 ili umzimishe kabisa
 
Sasa hapo wewe na yeye nani mbuzi na nani muuza supu? [emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Huyu binti nilimpata wiki mbili zilizopita tulikutana nae Buhongwa stendi Mwanza mida ya usiku saa 5 akaniuliza ni wapi atapata magari ya kwenda Misungwi kwa muda ule akanambia huku yeye ni mgeni.

Mimi nikamwambia kwa muda huu huwezi kupata gari. Akaonekana kuwa mnyonge sana. Kama mnavojua ujana, nikaona mbuzi kafia kwa muuza supu nikamwambia kama vipi twende kwangu ulale kesho uendelee na safari. Kweli akakubali tukaenda home usiku nikapiga shoo bila kutongoza kesho yake asubuhi akasepa ila tukaendelea kuwatunawasiliana.

Sasa jana asubuhi akanicheki akanambia kaja kwa sister wake mitaa ya Nyegezi tukakubaliana jioni au usiku atakuja kunitembelea. Kweli mida ya saa 3 usiku akawa amefika kitaa nikaenda kumchukua

Usiku tumelala fresh, sasa asubuhi nilikuwa na miadi ya kwenda Nyegezi stendi kutuma mzigo fulani nikawa nimemwambia akanambia freshi nitamkuta. Nikawa nimemwacha room pia ninaishi na dogo wa kiume naye yupo room kwake nikawa nimesepa.

Aiseee kuja kurudi binti hayupo na niliacha simu moja aina ya infinix kwenye charge nayo haipo.

Daah! Imeniuma sana sikutegemea
Uwezi kula ki masihara afu usiibiwe kimasihara😂😂
 
Umekutana na wadada wa "Mudo" wamekunyoosha...Pole bro karibu huku Nyakagwe tuandae mashamba kwa msimu mpya wa mpunga
 
Aiseee kuja kurudi binti hayupo na niliacha simu moja aina ya infinix kwenye charge nayo haipo
Hiyo ni warning light,
Kinachofuata sasa ni kuja kupukutisha Gheto, huyo demu wa mchongo atakutakatisha hadi carpet za viatu!!!
 
Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje
Labda hajaiba kweli. Unaweza kuta huyo jirani yako ndio mwizi.
 
Nimempigia cm nimemuwakia sana cha ajabu hana wasiwasi anasema hajachukua ila alipata dharula akaondoka na hapa ananitumia sms za kunilaumu mim kumuita mwizi ila kuna sister jirani alimuona akitoka huku anakimbia.naomba ushauri wenu wakuu.bado analazimisha mawasiliano nifanyeje
Una miaka mingapi?
 
Kwaio ulichukulia ndezi kiasi hiko


Kunguru hafugiki
 
Back
Top Bottom