gubegubekubwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2008
- 683
- 956
MKUU utanunuaje sim ya 1.7M huku unakaa nyumba ya kupanga akili yako inakusaidia kweli?Wakuu nimeibiwa simu mpya kabisa . Yani siku nimeinunua usiku ikaibiwa. Ni simu ya 1.7m. Siwezi sema ni aina gani mana uyo mwizi anaweza kuwa humu.
Naombeni ushauri nifanyeje ili niipate. Polisi nimeisha enda kwa kitengo cha cyber crime na pesa ya maji nimewapa ili wanitaftie, ila wananizungusha mpaka sasa.
Nimetenga 300,000 kwa atakayenisaidia kumpata huyu mwizi coz kanipiga hata pesa.( Laki nane)
