Hongera mkuu.Hatmaye nimeipata. Thanks God
Hasara ya iphone ni kuwa simu yako ukiilock kwa icloud na ikashindikana kufunguka. Wajanja wanaifanya spea. Yan watauza screen, battery, na vifaa vidogo vidogo na wanakuachia main board.sasa nimeona umuhimu wa IPHONE na hasara za ANDROID. asante mleta mada nimepata chaguo sahihi sasa.
hahahaha mwalimu umemshika huyo....hayo ndio matatizo ya kutunga storyWE NAEEEEEEEEEEE SASA UMEIZOEA SAA NGAPI NA UMEINUNUA TU USIKU IKAIBIWA!
au ulianza kuitumia ikiwa dukani?
Huu ndyo mwisho wa uwezo wa kufikiria kwa yeyote aliyefanywa msukule wa CCM.hahahaha mwalimu umemshika huyo....hayo ndio matatizo ya kutunga story