Nimeibiwa simu mpya, Nifanyeje ili niipate?

Nimeibiwa simu mpya, Nifanyeje ili niipate?

WE NAEEEEEEEEEEE SASA UMEIZOEA SAA NGAPI NA UMEINUNUA TU USIKU IKAIBIWA!
au ulianza kuitumia ikiwa dukani?
S6 unajua ina ram ya ngapi, s7 je nayo? Unadhani cm zenye ram ya 4gb zimekuja leo?
 
Yeye keshajenga hawazii kiwanja au tofali kwa sasa!

Hongera yake,..ila kuna asset nying za kununua impe security zaidi sio simu,..ilo wazo lako ni from typical woman ambae afikirii kesho,..hilarious
 
S6 unajua ina ram ya ngapi, s7 je nayo? Unadhani cm zenye ram ya 4gb zimekuja leo?
mi huko sijafika kwenye ram sijui rim!
nimebaki hapo pa NIMEIZOEA!
ndo nkataka kujua yafuatayo!
-ni mpYa au sio mpya?
-na imeibiwa lini?
ujue naweza kukusaidia kutafuta!
oh!
-
 
Mkuu hata kwa iyo cm inawezekana tatizo kaisha flash simu. Kufanya ivyo ni mpaka niwasiliane na samsung waitfte kwa kutumia warantee kadi. Tatizo iyo cm ilikuwa haijaanza kuuzwa tz. Sasa watu wa samsung wanasema haiwezi apply kwa tz hiv sasa

Sasa mbona mara ya kwanza ulikataa kutaja aina ya cm!? Mkuu unamambo ww.
 
Mimi nina LG G5 used. naiuza 600,000 .negotiable
If interested tuwasiliane kwa 0766728326
 
Wasiliana na TCRA ukiwa na imei za simu yako ili waifungie isiweze kutumia popote
 
Mkuu hata kwa iyo cm inawezekana tatizo kaisha flash simu. Kufanya ivyo ni mpaka niwasiliane na samsung waitfte kwa kutumia warantee kadi. Tatizo iyo cm ilikuwa haijaanza kuuzwa tz. Sasa watu wa samsung wanasema haiwezi apply kwa tz hiv sasa

Samsung s8? Mbona zipo nyingi tu? Je ulifungua samsung account? Kama ulifungua itakua rahisi kuipata.
 
Hongera yake,..ila kuna asset nying za kununua impe security zaidi sio simu,..ilo wazo lako ni from typical woman ambae afikirii kesho,..hilarious
Inawezekana ikawa kweli siwazi kesho, Ila kwa upande wako una mawazo ya kimasikini sana!

Kama kwako simu ya 1.7m ni ghali sana kiasi unaithamanisha na mifuko ya sementi au tofali kwa wengine ni kifaa tu chenye ubora kwa matumizi binafsi.

Pia wakati wewe bado unahangaikia basic needs (chakula, mavazi & malazi) kuna ambao wameshaipita hiyo hatua!!
 
Inawezekana ikawa kweli siwazi kesho, Ila kwa upande wako una mawazo ya kimasikini sana!

Kama kwako simu ya 1.7m ni ghali sana kiasi unaithamanisha na mifuko ya sementi au tofali kwa wengine ni kifaa tu chenye ubora kwa matumizi binafsi.

Pia wakati wewe bado unahangaikia basic needs (chakula, mavazi & malazi) kuna ambao wameshaipita hiyo hatua!!

Ndo maana kuna tofauti yangu mi na wew sijasema sina mawazo ya kimaskini lakin kama nna uwezo wa kufiri long term investment maana ntaweza enjoy ivo Vitu kwa muda mrefu zaidi,..zaidi ya kuweka all my balls in one bucket,.. [HASHTAG]#finance[/HASHTAG] inaitwa,..ivi nikulize kitu,? Ivi kitu kama icho kikikutokea cha kuibiwa unapataj nyingine,!?.....ukinijib ili utakua umejua kat ya mm na wew nan mweny akili ya kimaskin!,..
 
Wakuu nimeibiwa simu mpya kabisa . Yani siku nimeinunua usiku ikaibiwa. Ni simu ya 1.7m. Siwezi sema ni aina gani mana uyo mwizi anaweza kuwa humu.

Naombeni ushauri nifanyeje ili niipate. Polisi nimeisha enda kwa kitengo cha cyber crime na pesa ya maji nimewapa ili wanitaftie, ila wananizungusha mpaka sasa.

Nimetenga 300,000 kwa atakayenisaidia kumpata huyu mwizi coz kanipiga hata pesa.( Laki nane)
....Pole, hiyo laki tatu better uitumie kununua simu nyingine, maisha yaendelee kuliko kuongeza tena loss
 
Aisee so umeibiwa :
Simu. 1.7 m
Cash 800,000
Police 100,000
{ 2.6m].
Pole mama ao police walikupa electronic receipt?
 
Back
Top Bottom