Nimeibiwa simu mpya, Nifanyeje ili niipate?

Nimeibiwa simu mpya, Nifanyeje ili niipate?

itakuonesha location hat akiwa amefukia chini
kwa iphone rahisi sana yaan ukimkarbia tu inaanz kupiga kelele hata awe kazima
Mkuu hata kwa iyo cm inawezekana tatizo kaisha flash simu. Kufanya ivyo ni mpaka niwasiliane na samsung waitfte kwa kutumia warantee kadi. Tatizo iyo cm ilikuwa haijaanza kuuzwa tz. Sasa watu wa samsung wanasema haiwezi apply kwa tz hiv sasa
 
Cyber Crime jamaa hawapo serious kabisa nshawahi ibiwa simu nilivyowafuata ili wanisaidie nilipigwa danadana mpaka nkaamua kumsamehe mwizi wangu

lakini mkuu ktk simu yako iliyoibiwa uliinstall application ya Android lost? Tuanzie hapo kama uliinstall nijibu nkwambie ufanye nini?
 
mkuu vuta kumbukumbu utanikumbuka mimi kimbauz mtu uliyenitukana katika ile post yako uliyosema una 1.4m unatafta simu nahisi ulisema s8,nliuliza kwann pesa yote hiyo utumie katika simu ila ukaishia kunitukana kuwa nina mawazo ya kiamsikini sana?

INAKUAJE MH TAJIRI UNAKUJA KULIA JUKWAANI AU NA WEWE MASIKINI KAMA MIMI?
Sasa ww unanipangia nitumieje pesa yangu?
 
Wakuu nimeibiwa simu mpya kabisa . Yani siku nimeinunua usiku ikaibiwa. Ni simu ya 1.7m. Siwezi sema ni aina gani mana uyo mwizi anaweza kuwa humu.

Naombeni ushauri nifanyeje ili niipate. Polisi nimeisha enda kwa kitengo cha cyber crime na pesa ya maji nimewapa ili wanitaftie, ila wananizungusha mpaka sasa.

Nimetenga 300,000 kwa atakayenisaidia kumpata huyu mwizi coz kanipiga hata pesa.( Laki nane)
Nenda kanunue mpya mkuu, ili usiweze kupoteza muda na fedha zaidi.
 
Cyber Crime jamaa hawapo serious kabisa nshawahi ibiwa simu nilivyowafuata ili wanisaidie nilipigwa danadana mpaka nkaamua kumsamehe mwizi wangu

lakini mkuu ktk simu yako iliyoibiwa uliinstall application ya Android lost? Tuanzie hapo kama uliinstall nijibu nkwambie ufanye nini?
Hapna. Yan siku nimeinunua jamaa kaiba usiku. So sikuwa numeichokonoa sana.
 
Ni PM namba yako mkuu nikupeleke kwa babu yangu bagamoyo....inarudii ndani ya SKU mbilii....trust me....narudiaa tenaa itarudii twenzetu kwa babu
 
Pole sana ila kumbuka huu ni mwezi wa toba na sadaka,fanya kama umesaidia maskini.
 
Ni PM namba yako mkuu nikupeleke kwa babu yangu bagamoyo....inarudii ndani ya SKU mbilii....trust me....narudiaa tenaa itarudii twenzetu kwa babu
Mkuu uko siwezi. Ni bora tu niitoe sadaka
 
mkuu vuta kumbukumbu utanikumbuka mimi kimbauz mtu uliyenitukana katika ile post yako uliyosema una 1.4m unatafta simu nahisi ulisema s8,nliuliza kwann pesa yote hiyo utumie katika simu ila ukaishia kunitukana kuwa nina mawazo ya kiamsikini sana?

INAKUAJE MH TAJIRI UNAKUJA KULIA JUKWAANI AU NA WEWE MASIKINI KAMA MIMI?
Hahaa
 
Vijana mwisho wa mchezo, wana uowezo wa kubadili IMEI. Na wakishabadili, sahau.
Mkuu kwa samsung mpaka sasa simu inayokubali kubadilishwa ime ni s6. Kuanzia s7 haiwezekani
 
Hapna. Yan siku nimeinunua jamaa kaiba usiku. So sikuwa numeichokonoa sana.
Dah kama ungekuwa na hiyo application ingekuwa Raisi kujua nani anaitumia kupata SMS zinazoingia, Kucontral simu uitakavyo lakin kama hauna inakuwa ngumu kidogo

Basi fanya kitukimoja ikiwa una EMEI Number nenda kwa mtaandao uliokuwa unautumia wambie tatizo lako kisha wakikwambia mpaka Police ndo wanaweza kukusaidia basi ongea na police mmoja Muende ktk ofisi kama tgo/voda ili wakuambie nani anatumia simu yko
 
Dah kama ungekuwa na hiyo application ingekuwa Raisi kujua nani anaitumia kupata SMS zinazoingia, Kucontral simu uitakavyo lakin kama hauna inakuwa ngumu kidogo

Basi fanya kitukimoja ikiwa una EMEI Number nenda kwa mtaandao uliokuwa unautumia wambie tatizo lako kisha wakikwambia mpaka Police ndo wanaweza kukusaidia basi ongea na police mmoja Muende ktk ofisi kama tgo/voda ili wakuambie nani anatumia simu yko
Mkuu uko kote nimesha pita. Polic wananiomba pesa tu hata hawafanyi lilote. Wameshakula laki mpaka sasa
 
Nimezoea cm ina 4gb ram. Sasa hiki nachotumi cha bei ndogo hata kutaype tu kipo slow.
WE NAEEEEEEEEEEE SASA UMEIZOEA SAA NGAPI NA UMEINUNUA TU USIKU IKAIBIWA!
au ulianza kuitumia ikiwa dukani?
 
Back
Top Bottom