kussy
JF-Expert Member
- Jun 15, 2010
- 400
- 121
Jumamosi nimetoa pesa kny ACC yangu kupitia ATM NBC kwa kutumia TEMBOCARD VISA yangu, jana nataka tena kutoa pesa kwenye Akaunti ATM ikasema sina hela kwenye ACCOUNT wakati nina hela za kutosha, leo nimedamkia kwenye tawi langu la CRDB, Counter wanadai hiyo hela iliyopotea imetolewa kupitia Bank ya EXIM, wanadai itakuwa imeibiwa wakaniambia nijaze Claim form alafu nifuatilie, but hawajui kama nitalipwa. Jamani hii imekaaje?