Nimeibiwa 245,000/= MPESA VODACOM

Nimeibiwa 245,000/= MPESA VODACOM

Matter ni namba ya siri mkuu.... hii app me naipenda sana sababu nakumbuka kuna kipindi nilikuwa natoa hela kwa wakala hata kama line yangu ipo mbali....
Kama mtu anashindwa kutunza namba yake ya siri there is no way anaweza kusaidika....
Ni kweli mkuu, ila kuna watu kutunza namba zao za siri kama haiwezekani vile, mfano wazee vijijini huko wametumiwa visent, wakienda kwa wakala wanamtajia na namba ya siri kabisa. Na wao hawana uelewa wa hii Mpesa app, ndio maana nikajaribu kutoa pendekezo kama hilo, maana mambo kama hayo hayaepukiki mkuu
 
mkuu simu ilijibonyeza menu, ikachagua toa pesa, ikajiingiza namba ya wakala na ya siri na ikathibitisha? Itakuwa simu ya maajabu
Itakuwa techno kama ya Mwajuma mhudumu wa Makuti bar, Bunju
 
yafaa waongeze security kwenye hiyo app.. kabla ya kutoa comfirmation code ni muhimu itumwe kwenye no ya muhusika
 
Ndugu wana jamvi.
Jana saa mbili usiku nimeibiwa shilingi laki mbili na elfu arobaini na tano kwenye namba yangu ya vodacom yenye Mpesa. Fedha zimetolewa kwa wakala, na ujumbe nikaletewa kuwa nimepokea fedha taslimu toka kwa wakala huyo.

Ushahidi huu hapa.
6ES62D6M74W Imethibitishwa tarehe 28/5/19 saa 10:17 PM Pokea kiasi cha Tsh240,000.00 kutoka kwa 430185 - MWANAHAMISI RAJABU ISSA kwa ada ya Tsh5,000.00. Salio lako jipya la M-Pesa ni Tsh675.00.

Cha ajabu ni kuwa muda huo, mimi nilikuwa na simu yangu na sikufanya muamala huu.
Mara moja niliwapigia huduma kwa mteja Mpesa Vodacom ambao wamesema nisubiri masaa 72.
Swali kwa wataalam.
1.Ni nini hasa kimefanyika hadi namba yangu ikatoa fedha nipopajua ilihali simu yangu ninayo?
2. Je nitaweza kupata fedha zangu hizi?
3. Je niendelee kutumia namba hii au niachane nayo?


Nawasilisha.
Aisee pole
 
Niliwahi ibiwa NBC mil 10 yani mpaka leo sijazipataa..
 
mkuu simu ilijibonyeza menu, ikachagua toa pesa, ikajiingiza namba ya wakala na ya siri na ikathibitisha? Itakuwa simu ya maajabu
imejbonyeza bahati mbaya c unajua tena shetan akitaka kufanya yake
 
Ndugu wana jamvi.
Jana saa mbili usiku nimeibiwa shilingi laki mbili na elfu arobaini na tano kwenye namba yangu ya vodacom yenye Mpesa. Fedha zimetolewa kwa wakala, na ujumbe nikaletewa kuwa nimepokea fedha taslimu toka kwa wakala huyo.

Ushahidi huu hapa.
6ES62D6M74W Imethibitishwa tarehe 28/5/19 saa 10:17 PM Pokea kiasi cha Tsh240,000.00 kutoka kwa 430185 - MWANAHAMISI RAJABU ISSA kwa ada ya Tsh5,000.00. Salio lako jipya la M-Pesa ni Tsh675.00.

Cha ajabu ni kuwa muda huo, mimi nilikuwa na simu yangu na sikufanya muamala huu.
Mara moja niliwapigia huduma kwa mteja Mpesa Vodacom ambao wamesema nisubiri masaa 72.
Swali kwa wataalam.
1.Ni nini hasa kimefanyika hadi namba yangu ikatoa fedha nipopajua ilihali simu yangu ninayo?
2. Je nitaweza kupata fedha zangu hizi?
3. Je niendelee kutumia namba hii au niachane nayo?


Nawasilisha.

Kuna mambo hapa ya kuweka sawa!
1.Je simu card yako imeswapiwa ???

2.Je umewahi kuinstall Mpesa app kwenye simu yeyote?????

3.Je umewahi kushare na mtu password yako??

4.Je Password yako ni namba ya kuzaliwa kwako???

Jibu kwanza haya t
 
Ndugu wana jamvi.
Jana saa mbili usiku nimeibiwa shilingi laki mbili na elfu arobaini na tano kwenye namba yangu ya vodacom yenye Mpesa. Fedha zimetolewa kwa wakala, na ujumbe nikaletewa kuwa nimepokea fedha taslimu toka kwa wakala huyo.

Ushahidi huu hapa.
6ES62D6M74W Imethibitishwa tarehe 28/5/19 saa 10:17 PM Pokea kiasi cha Tsh240,000.00 kutoka kwa 430185 - MWANAHAMISI RAJABU ISSA kwa ada ya Tsh5,000.00. Salio lako jipya la M-Pesa ni Tsh675.00.

Cha ajabu ni kuwa muda huo, mimi nilikuwa na simu yangu na sikufanya muamala huu.
Mara moja niliwapigia huduma kwa mteja Mpesa Vodacom ambao wamesema nisubiri masaa 72.
Swali kwa wataalam.
1.Ni nini hasa kimefanyika hadi namba yangu ikatoa fedha nipopajua ilihali simu yangu ninayo?
2. Je nitaweza kupata fedha zangu hizi?
3. Je niendelee kutumia namba hii au niachane nayo?


Nawasilisha.
pole
 
Ndugu wana jamvi.
Jana saa mbili usiku nimeibiwa shilingi laki mbili na elfu arobaini na tano kwenye namba yangu ya vodacom yenye Mpesa. Fedha zimetolewa kwa wakala, na ujumbe nikaletewa kuwa nimepokea fedha taslimu toka kwa wakala huyo.

Ushahidi huu hapa.
6ES62D6M74W Imethibitishwa tarehe 28/5/19 saa 10:17 PM Pokea kiasi cha Tsh240,000.00 kutoka kwa 430185 - MWANAHAMISI RAJABU ISSA kwa ada ya Tsh5,000.00. Salio lako jipya la M-Pesa ni Tsh675.00.

Cha ajabu ni kuwa muda huo, mimi nilikuwa na simu yangu na sikufanya muamala huu.
Mara moja niliwapigia huduma kwa mteja Mpesa Vodacom ambao wamesema nisubiri masaa 72.
Swali kwa wataalam.
1.Ni nini hasa kimefanyika hadi namba yangu ikatoa fedha nipopajua ilihali simu yangu ninayo?
2. Je nitaweza kupata fedha zangu hizi?
3. Je niendelee kutumia namba hii au niachane nayo?


Nawasilisha.


Si wamo humu Jf Vodacom Tanzania
 
Ndugu wana jamvi.
Jana saa mbili usiku nimeibiwa shilingi laki mbili na elfu arobaini na tano kwenye namba yangu ya vodacom yenye Mpesa. Fedha zimetolewa kwa wakala, na ujumbe nikaletewa kuwa nimepokea fedha taslimu toka kwa wakala huyo.

Ushahidi huu hapa.
6ES62D6M74W Imethibitishwa tarehe 28/5/19 saa 10:17 PM Pokea kiasi cha Tsh240,000.00 kutoka kwa 430185 - MWANAHAMISI RAJABU ISSA kwa ada ya Tsh5,000.00. Salio lako jipya la M-Pesa ni Tsh675.00.

Cha ajabu ni kuwa muda huo, mimi nilikuwa na simu yangu na sikufanya muamala huu.
Mara moja niliwapigia huduma kwa mteja Mpesa Vodacom ambao wamesema nisubiri masaa 72.
Swali kwa wataalam.
1.Ni nini hasa kimefanyika hadi namba yangu ikatoa fedha nipopajua ilihali simu yangu ninayo?
2. Je nitaweza kupata fedha zangu hizi?
3. Je niendelee kutumia namba hii au niachane nayo?


Nawasilisha.
apo badilisha namba ya siri...hiyo pesa hutoipata...kuna mtu wa karibu anajua namba yako na namba ya siri...ana M-PESA app..Voda hawatakusaidia chochote zaidi ya kujifunza kuto expose namba yako ya siri ....
 
Mm nina jamaa hapa ofisi moja, kuna mtu mkoani akatumia 300,000 ili wanunulie kitu. Kwenye saaa tatu hivi jamaa akaitoa ile fedha, ilipofika kwenye saaa tano jamaa a kamwambia nataka niongezeee na kitu kingine ndipo alipotuma60, 000.
Baaada ya muda akaja mteja akasema nataka malipo nikutumie Kwa tigo pesa ndipo alipo patina number Ila jina likatoka tofauti kabisa, ndipo akamuuliza wewe hili jina lako, kuangalia kweli jina sio lake, tunaangalia fedha ishatolewa
Simu unayo wewe ,hela inatokaje bila wewe kuitoa?
Kikulacho ki nguoni mwako
 
apo badilisha namba ya siri...hiyo pesa hutoipata...kuna mtu wa karibu anajua namba yako na namba ya siri...ana M-PESA app..Voda hawatakusaidia chochote zaidi ya kujifunza kuto expose namba yako ya siri ....
Mpesa app haifanyi kazi kama huna lin husikA tena uweke sim 1
 
Back
Top Bottom