Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Yeah inawezekanaIvi eeee
Yeah inawezekanaIvi eeee
NO 4.... Namba ya kuzaliwa kwako unamaanisha nini kiongozi?? Namba ya kwenye kitambulisho cha taifa au?Kuna mambo hapa ya kuweka sawa!
1.Je simu card yako imeswapiwa ???
2.Je umewahi kuinstall Mpesa app kwenye simu yeyote?????
3.Je umewahi kushare na mtu password yako??
4.Je Password yako ni namba ya kuzaliwa kwako???
Jibu kwanza haya t
Wakala hawezi kuhusika maana ye kamhudumia mteja aliyekuja kutoa pesaWakala atahusika.
Maana atakuwa ametoa pesa kimakosa
Mpesa app haifanyi kazi kama huna lin husikA tena uweke sim 1
Alikuja na kitambulisho?Wakala hawezi kuhusika maana ye kamhudumia mteja aliyekuja kutoa pesa
Hata kama, wakala hawezi kuwajibishwaAlikuja na kitambulisho?