Kingkorlar
JF-Expert Member
- Oct 16, 2018
- 875
- 996
Itakua umejiibia kama isemavyo serikali ya hawamu ya 5 kuwa watu wanajiteka sasa na wewe hyo utakua umejiibia!
Mimi nimewahi kuibiwa shs. 4,450,000/= kutoka benki ya DTB . Na bado fedha yangu haikurejeshwa, japo mwanzo walinipa matumaini ya kurejeshewa.Ndugu wana jamvi.
Jana saa mbili usiku nimeibiwa shilingi laki mbili na elfu arobaini na tano kwenye namba yangu ya vodacom yenye Mpesa. Fedha zimetolewa kwa wakala, na ujumbe nikaletewa kuwa nimepokea fedha taslimu toka kwa wakala huyo.
Ushahidi huu hapa.
6ES62D6M74W Imethibitishwa tarehe 28/5/19 saa 10:17 PM Pokea kiasi cha Tsh240,000.00 kutoka kwa 430185 - MWANAHAMISI RAJABU ISSA kwa ada ya Tsh5,000.00. Salio lako jipya la M-Pesa ni Tsh675.00.
Cha ajabu ni kuwa muda huo, mimi nilikuwa na simu yangu na sikufanya muamala huu.
Mara moja niliwapigia huduma kwa mteja Mpesa Vodacom ambao wamesema nisubiri masaa 72.
Swali kwa wataalam.
1.Ni nini hasa kimefanyika hadi namba yangu ikatoa fedha nipopajua ilihali simu yangu ninayo?
2. Je nitaweza kupata fedha zangu hizi?
3. Je niendelee kutumia namba hii au niachane nayo?
Nawasilisha.
Nilitaka jua hill kwamba MTU akiweka namba yako kwenye simu yake akadownload mpesa apple na akawa anajua namba yako ya siri anakupiga?Uliza swali sehemu ambayo hujaelewa maana naamini hayo maelezo yamekamilika. Wanalijua ndio maana siku zote tunasisitizwa kutunza namba zetu za siri, watakuwa labda wanalitafutia mwarobaini
mkuu simu ilijibonyeza menu, ikachagua toa pesa, ikajiingiza namba ya wakala na ya siri na ikathibitisha? Itakuwa simu ya maajabu

Aiseee!!Mimi nimewahi kuibiwa shs. 4,450,000/= kutoka benki ya DTB . Na bado fedha yangu haikurejeshwa, japo mwanzo walinipa matumaini ya kurejeshewa.
Kipindi hicho huduma ya mobile ktk mabenki ilikuwa haijawa kama leo. Wiki mbili zote, jamaa alikuwa anatoa pesa kupitia ATM visa card fake, bila mimi kujua kupitia mabenki mengine.
Mambo haya ni changamoto.


Mambo ya kupigia huduma kwa wateja ndo yanafanya mtu ashindwe kupata hela yake sometimes.... Njia ni moja tu... kwenda kwenye ofisi zao.....Huwa namba zinaingiliana.
kama uliwahi kabla wakala hajampa huyo mtu pesa...utazipata.ila kama ulichelewa...kuna mawili.
1 wakala kulipa
2 kupoteza.
Ni kwa mara ya kwanza kutokea? Endelea na mamba yako ila badili nenosiri.
Hili nalo linawezekana.... but pia huyo mtu lazima aliijua namba ya siri ya jamaa... nje ya hapo asingeweza....Kuna mtu anaejua namba yako ya siri aliweka line yako kwa simu yake akadownload Mpesa app
App iko salama kabisa... Uzwazwa wa watu wenyewe kushindwa kutunza namba zao za siri....watu watakua wanalizwa sana kwa hii mpesa app, sio salama kama mtu mwingine anaweza kuitumia kutoa pesa kwa namba ya mtu. Waifanyie marekebisho kwa usalama wa fedha za watu
Nilitaka jua hill kwamba MTU akiweka namba yako kwenye simu yake akadownload mpesa apple na akawa anajua namba yako ya siri anakupiga?
Hili nalo linawezekana.... but pia huyo mtu lazima aliijua namba ya siri ya jamaa... nje ya hapo asingeweza....
Usalama wa M-pesa ni namba yako ya siri bila hivyo utapigwa mpaka ukomewatu watakua wanalizwa sana kwa hii mpesa app, sio salama kama mtu mwingine anaweza kuitumia kutoa pesa kwa namba ya mtu. Waifanyie marekebisho kwa usalama wa fedha za watu
Duuh aiseeMimi nimewahi kuibiwa shs. 4,450,000/= kutoka benki ya DTB . Na bado fedha yangu haikurejeshwa, japo mwanzo walinipa matumaini ya kurejeshewa.
Kipindi hicho huduma ya mobile ktk mabenki ilikuwa haijawa kama leo. Wiki mbili zote, jamaa alikuwa anatoa pesa kupitia ATM visa card fake, bila mimi kujua kupitia mabenki mengine.
Mambo haya ni changamoto.
Aiseee!!![]()
Hiyo namba naitumia mpaka leo. Lakini nilizimia huduma ya ATM .Duuh aisee
Hiyo namba naitumia mpaka leo. Lakini nilizimia huduma ya ATM .
YesHautumii tena ATM?
Mfano wangekua wanatuma sms ya conrfimation code kwenye namba yako ambayo ungeiweka ili kuconfirm muamala nafikiri hapa ingeweza kutatua tatizoApp iko salama kabisa... Uzwazwa wa watu wenyewe kushindwa kutunza namba zao za siri....
Nadhani hii ingesaidiaMfano wangekua wanatuma sms ya conrfimation code kwenye namba yako ambayo ungeiweka ili kuconfirm muamala nafikiri hapa ingeweza kutatua tatizo
Matter ni namba ya siri mkuu.... hii app me naipenda sana sababu nakumbuka kuna kipindi nilikuwa natoa hela kwa wakala hata kama line yangu ipo mbali....Mfano wangekua wanatuma sms ya conrfimation code kwenye namba yako ambayo ungeiweka ili kuconfirm muamala nafikiri hapa ingeweza kutatua tatizo
Wait, kwani uliibiwa kwa njia ya mobile au kwa kutumia kadi fake?Hiyo namba naitumia mpaka leo. Lakini nilizimia huduma ya ATM .
Mi ilishawahi kunikuta NBC kwa kuibiwa 2.1M hadi kuna uzi niliweka humu. Nilienda hadi BOT, pesa nilirudishiwa ila ilichukua takribani miezi 3.Mimi nimewahi kuibiwa shs. 4,450,000/= kutoka benki ya DTB . Na bado fedha yangu haikurejeshwa, japo mwanzo walinipa matumaini ya kurejeshewa.
Kipindi hicho huduma ya mobile ktk mabenki ilikuwa haijawa kama leo. Wiki mbili zote, jamaa alikuwa anatoa pesa kupitia ATM visa card fake, bila mimi kujua kupitia mabenki mengine.
Mambo haya ni changamoto.