Nimehamishiwa Dar es Salaam kikazi natafuta samani za ndani used(BUDGET TSH 1M)

5, kama unataka mabakuli na masahani yapo katika hali nzuri nicheki na ndoo zipo.
 
Njoo na laki mbili 270000 nikupee kitandàa kipyaa kbs mkuu
FB_IMG_1684088504101.jpg
 
Dah! Hiyo hela bora ukaitumia tu kwa kununua vitu vichache vipya. Maana unaweza ukabambikwa vitu used ambavyo vimeshachoka.
 
Back
Top Bottom