Nimegusana kimwili na shoga

Nimegusana kimwili na shoga

Hii ni episode 1,natarajia utakuja na ya kuingiliana kimwili na shoga,samahan lakin
 
Hayo yote mnayosema ni kweli kabisa,mi niliwahi kuwa gay ila kwa siri but niliokoka miaka 2 imepita..unajua kuwa kwasasa asilimia kubwa ya wanaume wasasa wengi kwa sasa wanshariki masuala haya ila wengi wao wanafanya kwa siri..mi wakati nawahi kufanya hivyo vitendo nilikutana na watu amaboa huwezi amini,namba zinagawiwa kwa siri kwa wale walio katika mtandao.viongozi wa dini ,maasheik,mapadri ndo balaa,viongozi wa serikali wengi tu na katika jamii tunazoishi vijana wengi wa sasa wanashriki vitendo vya mapenzi ya jinsia moja..nasema haya kwa ujasiri maana nilikuwa mmoja wao..ni wengi sana tena hata hao watu tunafanya nao kazi maofisini,ukimuona huwezi jua ila ukishakuwa member ndo utakutana nayo huko...yaani sasa hivi ndo maana hawa wanawake hawana soko maana men wengi wanatoka na men wenzao tena wanaume wa siku hizi akitoka na men mwenzake huwezi hisi vibaya utajua ni marafiki wa kawaida tu
 
''Habari yako kaka'' ni sauti ilitoka kwa upole huku moyoni nikadhani ni mrembo anataka kuniangukia. Mara nikageuka kutahamaki ni dume lililojaa vishimo vya sharubu likitoa tabasamu kama binti. Yalai tobaa nini hiki nakutana nacho asubuhi hii ndani ya daladala? Nimejikuta najilaumu kwa maana leo wife alitaka niondoke na private car nikamkatalia maana naskia leo wese halipo lakutosha kwenye visima. Basi nilimjibu mimi niko powa dada, aisee alitoa bonge la tabasamu huku akionesha kufurahi jinsi nilivyomuita dada. Naomba namba yako ya simu aliniomba ahaa ilibidi nishuke fasta kabla hajaniganda.

Afrika tumeingiliwa

Astaghafuliahi jamani.
 
Huwa najisikia vibaya

Kuna mmoja nilikuwa namyanyapaa sana mahali fulani
Alikuwa anataka kunizoea afu mie sitaki hata tone, akinisalimia naitikia kama simuoni, lakini hakuwahi kuchoka.Baadae tukaja kukutana mazingira tofauti, alifurahi sana kuniona ila hakuwa na uhakika kama attitude yangu.


Baadae nilikaa nikajiuliza, hivi kwa nini nakuwa hivyo? Kuanzia siku hiyo nilianza kujitahidi japo salamu tu
Hatimaye naweza ongea naye, hata tukacheka, japo hatuko marafiki kihivyo

Na he is a good guy kwa kweli


Nadhani ni phobia, najitahidi kuipunguza japo ni kazi sana

Naona kama movie vile na sio kitu halisia.
Sijawahi muona shoga,wala kahaba.
Napata wakati mgumu sana kuamini vitu hivi viwili.
 
Nitonye kaoge baharini (kidin')
Mimi kwa mara ya kwanza niliwaona wakiwa wawili maeneo ya Uwanja wa Taifa....Halafu wakawa wanavuka
Barabara kwa madaha!!.............Nilishangaa mpaka watu wakanishangaa.............Kusema ukweli sifai kukabidhiwa Bunduki

Hilo neno ume niibia.
kwa kweli sifai kuwa na bunduki.
kwa mfano ningekua FFU,maandamano ya ijumaa ilopita wange
simulia vizazi na vizazia ambavo ninge kung'uta.
 
Hayo yote mnayosema ni kweli kabisa,mi niliwahi kuwa gay ila kwa siri but niliokoka miaka 2 imepita..unajua kuwa kwasasa asilimia kubwa ya wanaume wasasa wengi kwa sasa wanshariki masuala haya ila wengi wao wanafanya kwa siri..mi wakati nawahi kufanya hivyo vitendo nilikutana na watu amaboa huwezi amini,namba zinagawiwa kwa siri kwa wale walio katika mtandao.viongozi wa dini ,maasheik,mapadri ndo balaa,viongozi wa serikali wengi tu na katika jamii tunazoishi vijana wengi wa sasa wanashriki vitendo vya mapenzi ya jinsia moja..nasema haya kwa ujasiri maana nilikuwa mmoja wao..ni wengi sana tena hata hao watu tunafanya nao kazi maofisini,ukimuona huwezi jua ila ukishakuwa member ndo utakutana nayo huko...yaani sasa hivi ndo maana hawa wanawake hawana soko maana men wengi wanatoka na men wenzao tena wanaume wa siku hizi akitoka na men mwenzake huwezi hisi vibaya utajua ni marafiki wa kawaida tu

umeacha au bado unakumbukiaga? Maana wanasema ukianza huwez acha
 
''Habari yako kaka'' ni sauti ilitoka kwa upole huku moyoni nikadhani ni mrembo anataka kuniangukia. Mara nikageuka kutahamaki ni dume lililojaa vishimo vya sharubu likitoa tabasamu kama binti. Yalai tobaa nini hiki nakutana nacho asubuhi hii ndani ya daladala? Nimejikuta najilaumu kwa maana leo wife alitaka niondoke na private car nikamkatalia maana naskia leo wese halipo lakutosha kwenye visima. Basi nilimjibu mimi niko powa dada, aisee alitoa bonge la tabasamu huku akionesha kufurahi jinsi nilivyomuita dada. Naomba namba yako ya simu aliniomba ahaa ilibidi nishuke fasta kabla hajaniganda.

Afrika tumeingiliwa

duu nimecheka sana baada ya kuona kidume mzima anashuka kituo ambacho sio chake.. du...
 
''Habari yako kaka'' ni sauti ilitoka kwa upole huku moyoni nikadhani ni mrembo anataka kuniangukia. Mara nikageuka kutahamaki ni dume lililojaa vishimo vya sharubu likitoa tabasamu kama binti. Yalai tobaa nini hiki nakutana nacho asubuhi hii ndani ya daladala? Nimejikuta najilaumu kwa maana leo wife alitaka niondoke na private car nikamkatalia maana naskia leo wese halipo lakutosha kwenye visima. Basi nilimjibu mimi niko powa dada, aisee alitoa bonge la tabasamu huku akionesha kufurahi jinsi nilivyomuita dada. Naomba namba yako ya simu aliniomba ahaa ilibidi nishuke fasta kabla hajaniganda.

Afrika tumeingiliwa
Boflo likes this.

kama ilivyotarajiwa...ni Boflo tu ame-like post yako so far.Boflo kwa lugha ya picha we mkareeee
 
Hayo yote mnayosema ni kweli kabisa,mi niliwahi kuwa gay ila kwa siri but niliokoka miaka 2 imepita..unajua kuwa kwasasa asilimia kubwa ya wanaume wasasa wengi kwa sasa wanshariki masuala haya ila wengi wao wanafanya kwa siri..mi wakati nawahi kufanya hivyo vitendo nilikutana na watu amaboa huwezi amini,namba zinagawiwa kwa siri kwa wale walio katika mtandao.viongozi wa dini ,maasheik,mapadri ndo balaa,viongozi wa serikali wengi tu na katika jamii tunazoishi vijana wengi wa sasa wanashriki vitendo vya mapenzi ya jinsia moja..nasema haya kwa ujasiri maana nilikuwa mmoja wao..ni wengi sana tena hata hao watu tunafanya nao kazi maofisini,ukimuona huwezi jua ila ukishakuwa member ndo utakutana nayo huko...yaani sasa hivi ndo maana hawa wanawake hawana soko maana men wengi wanatoka na men wenzao tena wanaume wa siku hizi akitoka na men mwenzake huwezi hisi vibaya utajua ni marafiki wa kawaida tu

Sasa umeombewa, ulikuwa unapepo? So unasoma its immoral behavior, nilidhani wanazaliwa hivyo.
Sina maana kukudisrespect ila naomba kuuliza.
Ushaoa? Je unasukuma ngozi as nothing happened? Na unajisikiaje ukimwona mwanaume unampenda?
 
inahuzunisha na inatia aibu sana haswa kuona jambo kama hili linaingia kwa kasi sana ndani ya nchi zetu za kiafrika leo hii tunaona ni mchezo kesho mdogo wako,kaka, binamu, mtoto wako au hata ndugu wa karibu ataingia kwenye ulimbukeni kama huu naomba tusimame kupinga kwa nguvu zote
 
Watanzania ni wanafki sana unafiki utatuua usione watu wanachangia hapa.ila ndo namba moja mungu atuepushie
 
Aisee Mimi ninapowaona tu mwili unasisimka, halafu wale hawashindwi kukusingizia siwapendi kama nini.
 
Mim nishawahi shikwa naambiwa kaka za kwako cku hyo nadhan ningeingia nyuma ya nondo mana nilimpa gumi hilo acha kabxa mm huwa napiga wale bakora nyingi mno *****
 
Inanikumbusha Pastor mmoja mmarekani Ted Haggard, yeye mahubiri yake kiasi kikubwa yalikuwa kinyume ushoga/mashoga. Ikaja kujulikana badae kumbe kuwa shoga fulani alikuwa anampatia huduma kisiri.

Jamii ijifunze kuwa tatizo la ushoga ni tata sana na la muhimu ni kutokuwa homoohobic.
 
Pole sana. Ila jua mashoga wako kila sehemu na kuna uwezekano unakutana na kugusana nao bila hata kujua! Jitahidi tu kutokuwa homophobe.
Miafrika bana??? tunaiga kila kitu.. kweli ndivyo tulivyo hahahaaaaaaaa....
 
Hivi sijui watu wa design hiyo huwa wanapata nafasi ya kujitathimini
 
laiti wanaume wote mngeweka mgomo wakutotembea nao wangekosa soko na amani ingekurud kidogo
 
Back
Top Bottom