Nimegusana kimwili na shoga

Nimegusana kimwili na shoga

don't be so paranoid dada.
Blaine utasema hayo ila jamani natamani ungekuwepo leo asbh polis hapa mbezi. mkuu wa upelelezi alikuwa anasimulia jinsi ambavyo mtoto wa kiume 8 yrs amelawitiwa na baba mdogo kwa muda mrefu hadi kujikuta kwamba anaumwa. mtoto alitishwa na huyu baba mdogo na anasime kabisa chumban anakolala kaliweka kwamba mtoto akisema kwa wazazi basi anamchinja.

mtoto uzalendo umemshnda akasimulia mwl wake na kusema yeye haendi nyumban manake bamdogo atamchinja na sime. mwl kumchungulia mtoto nyuman kumbe bamdogo kamziba na kipande cha godoro iliyozunzgushiwa leso kwa jinsi alivyo muharibu. basi ikabidi waende polis kushtak polis wakatoka na mwalimkumsindikiza mtoto nyumban. kufika ba mdogo alikuwepo mtoto ndo kumuonyesha kwa polis, akakamatwa kwenda kituon.

sasa wazazi wambaki kulia hapa kaka mtu anadai bora ukoo unitenge ila afungwe maisha mama anamlalamikia mumewe mndugu ndo kaniaharibia mtoto. acha kabisa haya mambo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa viumbe huwa wanakuwa na akili timamu kweli? Mimi nadhani wanakuwa wamelogwa labda!
 
ni kweli kaka,ni kama ukiona mwanao nio shoga utaonaje??
hatupaswi kuwapa nafasi hawa watu, jamii inatakiwa iwatenge ili kila mmoja aelewe hivyo vitendo ni viovu na havifai.
Unapo mchukulia kawaida hata mtoto wako ataona hicho ni kitu cha kawaida na anaweza kutamani kuwa hivyo.
 
Blaine utasema hayo ila jamani natamani ungekuwepo leo asbh polis hapa mbezi. ......

sasa wazazi wambaki kulia hapa kaka mtu anadai bora ukoo unitenge ila afungwe maisha mama anamlalamikia mumewe mndugu ndo kaniaharibia mtoto. acha kabisa haya mambo.
very sad. lakini thats pedophilia (sex with watoto) na huyo mzee anastahili kufungwa milele 😡 na mtoto ata-recover in time just like an ordinary r.ape victim. kuna genuine gays ambao wako poa tuu kama mama Kongosho alivyosema. naamini huyo mtoto atavutiwa na girls and all this will pass. your fear iko kwenye pedophiles, just warn your kids and watakuwa salama. a real gay problem itakuwa kama mtoto wa kiume atakuwa anapenda 'girl' stuff kama kucheki TSN kwenye dstv, hapo ndio kuna issue
 
Last edited by a moderator:
Blaine utasema hayo ila jamani natamani ungekuwepo leo asbh polis hapa mbezi. mkuu wa upelelezi alikuwa anasimulia jinsi ambavyo mtoto wa kiume 8 yrs amelawitiwa na baba mdogo kwa muda mrefu hadi kujikuta kwamba anaumwa. mtoto alitishwa na huyu baba mdogo na anasime kabisa chumban anakolala kaliweka kwamba mtoto akisema kwa wazazi basi anamchinja.

mtoto uzalendo umemshnda akasimulia mwl wake na kusema yeye haendi nyumban manake bamdogo atamchinja na sime. mwl kumchungulia mtoto nyuman kumbe bamdogo kamziba na kipande cha godoro iliyozunzgushiwa leso kwa jinsi alivyo muharibu. basi ikabidi waende polis kushtak polis wakatoka na mwalimkumsindikiza mtoto nyumban. kufika ba mdogo alikuwepo mtoto ndo kumuonyesha kwa polis, akakamatwa kwenda kituon.

sasa wazazi wambaki kulia hapa kaka mtu anadai bora ukoo unitenge ila afungwe maisha mama anamlalamikia mumewe mndugu ndo kaniaharibia mtoto. acha kabisa haya mambo.

hali ni mbaya kwa kweli inasikitisha.....inafika wakati tutashindwa kuishi na watu maana utakuwa umwanini yeyote.....kuna jamaa alikuwa anajiita mtumishi wa Mungu alikuwa anakwenda kuombea watoto yatima kwenye kituo fulani wakati mwingine alikuwa analala pale kwa ajili ya maombi ya usiku kumbe alikuwa na lake jambo akambaka mtoto mmoja na kumtishia kumwua kama atatoa taarifa na alikuwa anafanya hivyo mara kwa mara basi yule mtoto hakusema kwa mtu hadi mwalimu alipomgundua baada ya kumwona mtoto ameshindwa kutembea alipoulizwa tatizo ikabidi asema walipompeleka hosp alikutwa hali mbaya.... gfsonwin sijui tunakwenda wapi ee mola tusaidie kizazi hiki unaogopa kumtuma mtoto mahali popote inawezekana hata huko unakomtuma anaweza tendewa mambo hayo
 
Last edited by a moderator:
Watoto wa kiume hawajui, wanawapa wazimu kabisa mama zao

Dunia hii ya leo

katika vitu ambavyo sivipendi ushoga unaongoza kwakweli, ila katika vitu ambavyo vinanipa wakati mgumu ni hili linaongoza Kongosho. Leo nina watoto 4 wote ni wa kiume, najaribu kusema nao hadi naona sasa wataniona chizi isitoshe nimeanza hadi utaratibu wa kuwaombea na naona niwe natoa sadaka ili tu kwenye viuno vyangu asitokee mtu kama huyu.
Kongosho huwa wanangu wanajua kabisa yoyoyo ni ya mtu mwenyewe na hakuna mwenye ruhusa ya kuona yoyoyo ya mwenzie. lakin nimesahau kwangu sikai peke yangu na watoto
kuna h/boys, kuna ndugu, kuna majiran bado wana waalim na makatekista. uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
TSN ni nini??

Nataka nikawachunguze pale kwangu kama wanaiangalia

very sad. lakini thats pedophilia (sex with watoto) na huyo mzee anastahili kufungwa milele 😡 na mtoto ata-recover in time just like an ordinary r.ape victim. kuna genuine gays ambao wako poa tuu kama mama Kongosho alivyosema. naamini huyo mtoto atavutiwa na girls and all this will pass. your fear iko kwenye pedophiles, just warn your kids and watakuwa salama. a real gay problem itakuwa kama mtoto wa kiume atakuwa anapenda 'girl' stuff kama kucheki TSN kwenye dstv, hapo ndio kuna issue
 
Watoto wa kiume hawajui, wanawapa wazimu kabisa mama zao

Dunia hii ya leo

mm nnao 4 dada nakonda kwa ajili yao usipime...............nakuwa kichaa kwa kusema hadi watanipa jina 'mama semeni.
 
Duh! hebu nikumbuke

Wanapenda Ben 10, kuna kipindi kingine cha magari, sijui yanaitwa bugati, ila na mapishi kidogo

Na kuna siku lilionekana tangazo mvulana anambusu mwingine, wakashangaa sana
Wakauliza, mama kwa nini wanamme wanafanya hivyo?

The Style Network, channel 183.
 
Blaine mie kwangu hakuna cha dstv wala nn kama wamechoka kuanlia TBC basi waangalie ITV kwisha habari hata clouds tv kwangu hakuna acha niwe mtu wa zamani.
 
Last edited by a moderator:
katika vitu ambavyo sivipendi ushoga unaongoza kwakweli, ila katika vitu ambavyo vinanipa wakati mgumu ni hili linaongoza Kongosho. Leo nina watoto 4 wote ni wa kiume, najaribu kusema nao hadi naona sasa wataniona chizi isitoshe nimeanza hadi utaratibu wa kuwaombea na naona niwe natoa sadaka ili tu kwenye viuno vyangu asitokee mtu kama huyu.
Kongosho huwa wanangu wanajua kabisa yoyoyo ni ya mtu mwenyewe na hakuna mwenye ruhusa ya kuona yoyoyo ya mwenzie. lakin nimesahau kwangu sikai peke yangu na watoto
kuna h/boys, kuna ndugu, kuna majiran bado wana waalim na makatekista. uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Unapenda sana story za mapunga, machoko na mabasha wiki hii lazima utakuja na story mpya.
 
Last edited by a moderator:
Duh! hebu nikumbuke

Wanapenda Ben 10, kuna kipindi kingine cha magari, sijui yanaitwa bugati, ila na mapishi kidogo

Na kuna siku lilionekana tangazo mvulana anambusu mwingine, wakashangaa sana
Wakauliza, mama kwa nini wanamme wanafanya hivyo?
mwali mie kwangu nimenunua dvd zote za cartoon zote na hata ambyo imetoka leo ulaya wao wana access nazo ila tv kama tv narufuku zaid ya tbc na itv. clouds tv hakuna nyumban kwangu. ilintokea puan ya dstv nikakoma kabisaaaaaaaaaaaaaa.

mchana uko job dada uncle anakaz ya kusubscribe dirty channels tena mbele ya watoto aliishia kummimba binti wa kazi na hadi leo najukuu acha kabisa nilikoma. tena hivi leo nitahamisha hata iyo tv niwe nwatolea kwa masharti j1 baasi. ni tatizo sana ukiwaza unachanganyikiwa.
 
Unapenda sana story za mapunga, machoko na mabasha wiki hii lazima utakuja na story mpya.
mwenzio nina bahati ya kukutana na haya mambo sana manake naish uswaz sana tu,kitaani kwetu kuna mashoga kama 3 hivi wapo wanaonekana so huwa naumia sana juu yao. njoo mtaani kwetu ujionee mwenyewe.
 
Wakati mwingine tv nazo zinaharibu tu

Kama sasa sipo home, sijui wanajipimia kitu gani

mwali mie kwangu nimenunua dvd zote za cartoon zote na hata ambyo imetoka leo ulaya wao wana access nazo ila tv kama tv narufuku zaid ya tbc na itv. clouds tv hakuna nyumban kwangu. ilintokea puan ya dstv nikakoma kabisaaaaaaaaaaaaaa.

mchana uko job dada uncle anakaz ya kusubscribe dirty channels tena mbele ya watoto aliishia kummimba binti wa kazi na hadi leo najukuu acha kabisa nilikoma. tena hivi leo nitahamisha hata iyo tv niwe nwatolea kwa masharti j1 baasi. ni tatizo sana ukiwaza unachanganyikiwa.
 
Duh! hebu nikumbuke

Wanapenda Ben 10, kuna kipindi kingine cha magari, sijui yanaitwa bugati, ila na mapishi kidogo

Na kuna siku lilionekana tangazo mvulana anambusu mwingine, wakashangaa sana
Wakauliza, mama kwa nini wanamme wanafanya hivyo?
what channel was that?? at least mshangao wao shows hawajaona gays in dstv which is good news for you, naona dstv wamepunguza kulinganisha na zamani. nimetaja TSN since iko obvious.

Blaine mie kwangu hakuna cha dstv wala nn kama wamechoka kuanlia TBC basi waangalie ITV kwisha habari hata clouds tv kwangu hakuna acha niwe mtu wa zamani.
no dstv!! mnaishi ndani ya kuta 4 na paa juu siyo nyumba/home. (just kidding dada) ha ha
 
Wakati mwingine tv nazo zinaharibu tu

Kama sasa sipo home, sijui wanajipimia kitu gani

yaani ndugu yangu nina rafiki yangu yy huwa tv kwake haiangaliwi zaid ya habar tena siku akiwepo. ili kuwaweka watoto current anawanunulia magazeti mwananchi, the gurdian na daily news baasi. yaani hadi wanae wameshazoea kabisa.
 
Back
Top Bottom