kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,286
Mkuu ninamashaka na ww kuhusu jinsia yako
Hata Mimi Nina mashaka nae huyo
Mkuu ninamashaka na ww kuhusu jinsia yako
kwanini mkuu?Mkuu ninamashaka na ww kuhusu jinsia yako
Maaana inaonekana kama unatetea flan iv huo uchafukwanini mkuu?
siwez kutetea huu upuuziMaaana inaonekana kama unatetea flan iv huo uchafu
Yule wa majengo sec amaHao ni kuwapiga nao tuuuuuuu,,,mtu kataka kutatuliwa marinda ww unamuacha wa nini? Kuna mmoja nasikia yuko hivyo ni jamaa yangu ila kwa mwonekano anajionesha ila hajawahi kuonesha kama anataka,juzi nimekuta uzi humu wa 2012 ,wanadai alifukuzwa kazi Moshi kwa sababu hiyo.
Huyohuyo,,,,,,,,ni jamaa yetu ila sisi hatujawahi ona ushahid wowote zaid ya mwonekano.Yule wa majengo sec ama
Kwanini ulimfanyia hivyo?Aisee kuna likaka limoja likawa linataka kunizoea, nilivyoambiwa ni shoga nilichimba mkwara alijuta kunifahamu.
Ulikutana na huyu au.''Habari yako kaka'' ni sauti ilitoka kwa upole huku moyoni nikadhani ni mrembo anataka kuniangukia. Mara nikageuka kutahamaki ni dume lililojaa vishimo vya sharubu likitoa tabasamu kama binti. Yalai tobaa nini hiki nakutana nacho asubuhi hii ndani ya daladala? Nimejikuta najilaumu kwa maana leo wife alitaka niondoke na private car nikamkatalia maana naskia leo wese halipo lakutosha kwenye visima. Basi nilimjibu mimi niko powa dada, aisee alitoa bonge la tabasamu huku akionesha kufurahi jinsi nilivyomuita dada. Naomba namba yako ya simu aliniomba ahaa ilibidi nishuke fasta kabla hajaniganda.
Afrika tumeingiliwa
Wa nini mimi???Kwanini ulimfanyia hivyo?
Hatujui kama ni dhambi sema ni tabia ambayo hatujaizoea.Wa nini mimi???
Dhambi zangu zinanitosha nianze kutukuza u sodoma na u gomora inahusu???
Aqkhuuuuu
aiseeeHuyohuyo,,,,,,,,ni jamaa yetu ila sisi hatujawahi ona ushahid wowote zaid ya mwonekano.