Nimegusana kimwili na shoga

Mwenyezi Mungu atuepushie mbali na mimi naombanisijekutana nao

Pole sana mkuu tembea uyaone ndio hayo..
 
mwenzio nina bahati ya kukutana na haya mambo sana manake naish uswaz sana tu,kitaani kwetu kuna mashoga kama 3 hivi wapo wanaonekana so huwa naumia sana juu yao. njoo mtaani kwetu ujionee mwenyewe.

Nitumie namba pm ya choko/shoga moja nilikamue mbolea
 
Mwenyezi Mungu atuepushie mbali na mimi naombanisijekutana nao

Pole sana mkuu tembea uyaone ndio hayo..

Hapo mwanzo nilikuwa na mtazamo hasi kwa hawa mashoga lakini nimekuja kugundua yafuatayo:
1: wapo wanaume waliozaliwa huku wakiwa na homone za kike na kwa hiyo kuwapelekea kujihisi kuwa wanawake mwishowe nao kutaka kufanya ngono na wanaume

2: wapo wanaume wanaofanyiwa vitendo viovu kama kulawitiwa wakiwa wadogo na hivyo kujikuta tayari wameharibiwa. Hawa hujificha sana kwa kuwaogopa wale waliowafanyia vitendo hivyo.

3: wapo wengine wanaume wenye tamaa ya vitu kuliko uwezo wao hivyo kupelekea kulawitiwa na kugeuka kuwa mashoga.

Hawa wote wanaitia aibu jamii nzima, ila tuwalinde watoto wetu kwa hali na mali
 
duh mleta uzi hii nayo kali...ila kwa watoto wa mjini hiyo nayo ni opportunity kama kuitwa kwenye interview vile............
 
Huwa najisikia vibaya

Kuna mmoja nilikuwa namyanyapaa sana mahali fulani
Alikuwa anataka kunizoea afu mie sitaki hata tone, akinisalimia naitikia kama simuoni, lakini hakuwahi kuchoka.Baadae tukaja kukutana mazingira tofauti, alifurahi sana kuniona ila hakuwa na uhakika kama attitude yangu.


Baadae nilikaa nikajiuliza, hivi kwa nini nakuwa hivyo? Kuanzia siku hiyo nilianza kujitahidi japo salamu tu
Hatimaye naweza ongea naye, hata tukacheka, japo hatuko marafiki kihivyo

Na he is a good guy kwa kweli


Nadhani ni phobia, najitahidi kuipunguza japo ni kazi sana

Kongosho nipe uzoefu dungu yangu kwani mimi hawa watu yani sitaki hata kuwasikia. Yaani huwa nawaona kama watu wenye matatizo ambayo wamejitakia tu kwa hiyo hawafai kusaidia na wala kusogelewa na jamii. Kongosho tafadhari.
 
Hapo mwanzo nilikuwa na mtazamo hasi kwa hawa mashoga lakini nimekuja kugundua yafuatayo:
1: wapo wanaume waliozaliwa huku wakiwa na homone za kike na kwa hiyo kuwapelekea kujihisi kuwa wanawake mwishowe nao kutaka kufanya ngono na wanaume

2: wapo wanaume wanaofanyiwa vitendo viovu kama kulawitiwa wakiwa wadogo na hivyo kujikuta tayari wameharibiwa. Hawa hujificha sana kwa kuwaogopa wale waliowafanyia vitendo hivyo.

3: wapo wengine wanaume wenye tamaa ya vitu kuliko uwezo wao hivyo kupelekea kulawitiwa na kugeuka kuwa mashoga.

Hawa wote wanaitia aibu jamii nzima, ila tuwalinde watoto wetu kwa hali na mali

Nitonye hapo kwenye namba moja sijakuelewa. Mimi natokea bara ambako huu mchezo haukuwepo kabisa kipindi cha nyuma. Ina maana siku hizi ndo baadhi ya wanaume wamekuwa wanazaliwa na homone za kike? Kipindi cha nyuma hwakuwepo? Achan na mawazo ya kuhalalisha huu upuuzi. Hakuna kitu kama hicho zaidi ya kuamua mchezo mbaya kama kuwa kibaka, changudoa n.k. Kama hakuna mtu anazaliwa awe mwizi au changudoa, ndivyo ilivyo kwa shogas. Mengine ni mtu mwenyewe anaamua au mazingira yanapelekea kuwa vile. All in all ni mchezo mchazu kiimani na kiafya. Naombeni tuungana kuupinga kwa nguvu zote na akili zote.
 
Hapo mwanzo nilikuwa na mtazamo hasi kwa hawa mashoga lakini nimekuja kugundua yafuatayo:
1: wapo wanaume waliozaliwa huku wakiwa na homone za kike na kwa hiyo kuwapelekea kujihisi kuwa wanawake mwishowe nao kutaka kufanya ngono na wanaume

2: wapo wanaume wanaofanyiwa vitendo viovu kama kulawitiwa wakiwa wadogo na hivyo kujikuta tayari wameharibiwa. Hawa hujificha sana kwa kuwaogopa wale waliowafanyia vitendo hivyo.

3: wapo wengine wanaume wenye tamaa ya vitu kuliko uwezo wao hivyo kupelekea kulawitiwa na kugeuka kuwa mashoga.

Hawa wote wanaitia aibu jamii nzima, ila tuwalinde watoto wetu kwa hali na mali

kweli mkuu wazazi wa sasa tuna kazi kubwa kweli kwenye malezi kutokana na haya mabadiliko na maendeleo ya kidunia
 
sijawazoea wengi, ni huyo mmoja tu

naye anajificha ficha ila akiongea tu utamjua, na ameoa na ana mtoto.

Nilijisikia vibaya maana tulipoenda kusoma wote tulikuwa tumetoka bara, na aliniona kama tuwe karibu sababu tunatoka mkoa mmoja.

Sikumpa nafasi kabisa, tukapotezana kama miaka kama miaka 5, akaajiriwa mahali nilipokuwa nafanya kazi.

Nikaonaje sijui, nikasema, kwa nini nisijaribu kufanya effort hata ya kumsikiliza tu, hata salamu tu, basi nikajikuta nimeanza kuongea naye.

Lakini, si rahisi kihivyo hasa kwa wale wanaojionesha kabisa, ukimtazama nyuma ya suruali sijui inakuwaje, kama urudishe chenji hivi.

Kongosho nipe uzoefu dungu yangu kwani mimi hawa watu yani sitaki hata kuwasikia. Yaani huwa nawaona kama watu wenye matatizo ambayo wamejitakia tu kwa hiyo hawafai kusaidia na wala kusogelewa na jamii. Kongosho tafadhari.
 
Mkuu ni kweli dunia imeharibika. Bahati mbaya hauna jinsi lazima ukubali kuwa hao watu wapo.

Around mtaani kwetu kuna shoga fulani limekomaa. Ni mtu mzima anafanya shughuli za kupamba. Alishajitangaza na watu wanajua. Tatizo ni kwamba ukimkimbia au kumpotezea ndio anaboa zaidi. Na ukiamua kumpotezea au kummind watu wanajua una mahusiano nae. Dah! Challenge kweli! So chakufanya kule mtaani tunakuwa nae kwa muda kupata moja baridi, then tunamuacha.

Kwenye misiba, harusi yupo. Anajua kupamba, kupika! Ni mtu mzima >40's. Dunia imeharibika!!

homoni za ke zilizidi za me na dudu akapata ya me! Tangu 1954 huku Omulutunguru walikuwepo! Usi-conlude kuwa hii tabia imetoka Arabuni au Mexico, hapa nyumbani kuna beberu lina tabia kama jike! lol
 
Hivi ni kweli nyoote mnawachukia hawa watu kwa dhati? Isije ikawa ni uchangiaji hapa! Kama ni kweli, wanatumiwa na akina nani? Sababu wana soko ndo maana wanaendelea na biashara yao, na wachangiaji twaweza kuwa wachache sawa, lakini tunachokiwakilisha lazima kionyeshe kwamba kuna asilimia flani ndani ya jamii inayoendekeza ushoga. Kama tunavyoambiwa sasa mfano kuhusu UKIMWI kwamba kati ya watu 100, watatu hadi watano wana virusi "maambukizi yamepungua"
 
baadhi ya wadada wanawapenda sana hawa washe...z.wanawaalika kwenye sherehe zao na kutembea nao mitaan kama ningekuwa na manati piga kule
 
Unajua zamani nilikuwa naishi Netherlands. Na nilishawahi kuwaona hawa watu nilikuwa kama hawa wengine ambao wanawatukana, kuwabeza nk.

Kitu kimoja niligundua ni kwamba mara nyingi hawa walizaliwa hivyo walivyo.Na wengine tamaa,kulaitiwa nk.

Kingine katika kwangu kuishi kwenye such foreign culture. Niligundua pia watu ambao wako homophobic (samahani spelling) are either worried to be one (gay) because they're. In simplicity they are inferior. They are man and look man because they were told that they are. Whereas conflicts with their mind.

Nachoweza kusema, tujiheshimu. Tuwaheshimu watu wote wanaotuzunguka mkubwa mdogo. Bila kujali sexual orientation.

Kama mtu ni gay hayo hayanihusu mimi and am not interested to know.

Hiyo ndio liberated mind is. The audacity to look things indifferently and stand your point unbiased.

Jiulize kama ungekuwa na mtoto au ndugu. Wewe ungemfanya nini, ilihali kazaliwa hivyo?
Tusiwe wepesi kujudge
 
Back
Top Bottom