Kama ni kweli si rahisi kihivyo watu wamepigwa mitama na wajeda ili tu bomba litoke mtwara mpaka dar to bagamoyo halafu leo wasikie kuna mtu mweusi eti anajua kurecycle gas. Utapotea kabla hujasema "mama" ni sawa sawa leo useme kuna majani ukila hayo yanafanya kazi 10 times more than ARVs unadhani kama ni kweli hayo makumpuni yaliyowekeza billions of money kwenye hiyo midawa watakuacha salama.naombeni wazo la kuhalalisha nifanyeje ili niwape huduma kihalali mlipe na kodi nchi isonge, magumashi sitaki
Acha woga.Nunua mitungi ya gas.Ifute rangi paka rangi mpya isiyoonyesha gesi ya kampuni Gani.Anza kuuzia marafiki ndugu Na majirani .Ukiona inakubalika kaombe leseni ya kuuza mafuta Na gesi .Omba hati Agiza mitungi yako yenye nembo yako nenda kampuni za gesi kanunue gesi endelea Na maisha yako ya biashara yako omba hati miliki ya Ubuntu wakomawazo kama haya ndiyo mazuri, je kwa kufanya hivi wenye kampuni hawawezi kunishitki?
Huyo jamaa hana lolote anatumika nini ?Mkuu ulifikia wapi?
Yuko kazini huyo wako wengi kama yeye wanaleta hot issue halafu anataka uende PM .kifupi uwe care ku PMNahisi huyu jamaa analenga kuwafikirisha watu wajiulize inawezekanaje wakija na possibilities au alternatives wakaziandika hapa ndiyo anaanza nazo hizo
Yuko kazini huyo wako wengi kama yeye wanaleta hot issue halafu anataka uende PM .kifupi uwe care ku PM
Huu msafara sio wa mamba huu naogopa kujongea nao. Njaa sio nzuri mkuu atapasuka utumbo kwa kujaza mitungi huyo kijana. Mshaurini mapemaWatanzania bwana wanapenda sana kujazana ujinga ambao ndiyo mtaji wa CCM kuendelea kutawala nchi yetu.Hivi gesi ni nini na inakuwaje inaisha kwenye mtungu na inakuwaje mtu aamini kwamba mtungi wenyewe unaweza kuzalisha gesi iliyomo ikiisha?
Watu tayari wameshaona jamaa ana bonge la "talent" kwa ivo atadhulumiwa na hawezi "kusaidiwa" na serikali. Ila jamaa ni mtunzi mahiri wa hadithi zihusuzo sayansi. Anaweza kuwa Isaac Asimov wa Tanzania.
Kwani unavoitumia hiyo gas yako ya kufikirika si tayali unafaidika, unataka kufaidika na nini tena?nikitangaza hapa Mimi nitafaidikaje,
Kama waganga wa kienyej babuAfrica kutoboa itakuwa ndoto za alinacha.
Wazungu wakivumbua wanaweka mambo wazi, ila waafrica wakivumbua wanajifungia chimbani ili wengine wasifaidike.