stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,816
- 22,919
Sawa kwa case ya huyu mwenzetu anatumia utaalamu gani kuiingiza kwenye mtungi,maana ili ikae kwenye mtungi ni lazima ishindiliwe na mashine kama compressor..!Gesi hiyo inaitwa biogas, mbolea au mabaki ya chakula yanavyooza(ferment) yanatoaga gesi, so ukiweza kuitrap unaitumia tu home. wala sio kitu kigumu. Unaweza kugugo pia jinsi ya kuitengeneza.