Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Kila mtu anakutana na watu wengi mahala pake pa kazi, na pale mahala unapokutana na wengi ndio mahala ambapo likelihood ya kupatia mwenza ipo! Ndio maana wapenda disco wanakutana disco, wapenda kusali wanakutana kanisani, waenda bar wanakutana bar, makonda wanakutana kwenye dala dala (kila mara anapanda hilo gari mpaka wanazoeana na kuanza kupunguziana nauli), walimu wanaoa wanafunzi wao etc etc