JF hakuna misukule, tengua kauli kabla hujapata laana.Habarini wakuu!
Kama ilivyo kawaida yetu humu ndani tumezoea sana kuitana WAKUU bila kujali unayemwita ni kweli ni Mkuu au la!
Humu ndani kuna wazee na wajukuu zao, wazazi na watoto wao, watu waliotalakiana, wenye vyeti feki na halali, misukule na watu timamu: Lakini utamaduni wetu ni huu wa kuitana MKUU.
Nimegundua Kwanin tunalitumia sana neno MKUU;
Kwanza, humu ndani wengi tunatumia ID na AVATAR feki hivyo kila mmoja ana HOFU na mwenzake. Kuchati na mtu usiyemfahamu kunahitaji Busara yaweza kuwa unacomment thread ya babu yako, au mama au boss wako kazini Ndiyo maana wengi tunatumia neno MKUU.
Pili nadhani wengi wetu tunatumia MKUU ili tusitukanwe, wengi humu ukiwaquote na kucomment vibaya wanarudisha majibu ambayo yatakuharibia Siku na mood ya kufanya kazi itaisha.
Tatu, wengi wakianzisha Uzi hasa unaohitaji mchango wa mawazo, hutumia sana WAKUU ili kuvuta watu watiririke nondo za maana na kwakuwa tumeshavimbishwa bichwa kwa kuitwa wakuu, wengi tunauvaa uhusika wa UKUU ipasavyo.
Haya WAKUU, Mimi nimegundua hayo, ongeza na lako kama lipo.
Najua wewe sio muga, hebu weka picha na majina yakoWE jamaa kumbe ni lioga kishenz..
Jana ukashindwa kusema wazi kuwa zile picha tatu ni Wakatoliki wanaabudu sanamu.. Sijui ulikua unamuogopa nani!!!
Nimekudharau kinyama nyama!!
Umetisha sana mkuuHabarini wakuu!
Kama ilivyo kawaida yetu humu ndani tumezoea sana kuitana WAKUU bila kujali unayemwita ni kweli ni Mkuu au la!
Humu ndani kuna wazee na wajukuu zao, wazazi na watoto wao, watu waliotalakiana, wenye vyeti feki na halali, misukule na watu timamu: Lakini utamaduni wetu ni huu wa kuitana MKUU.
Nimegundua Kwanin tunalitumia sana neno MKUU;
Kwanza, humu ndani wengi tunatumia ID na AVATAR feki hivyo kila mmoja ana HOFU na mwenzake. Kuchati na mtu usiyemfahamu kunahitaji Busara yaweza kuwa unacomment thread ya babu yako, au mama au boss wako kazini Ndiyo maana wengi tunatumia neno MKUU.
Pili nadhani wengi wetu tunatumia MKUU ili tusitukanwe, wengi humu ukiwaquote na kucomment vibaya wanarudisha majibu ambayo yatakuharibia Siku na mood ya kufanya kazi itaisha.
Tatu, wengi wakianzisha Uzi hasa unaohitaji mchango wa mawazo, hutumia sana WAKUU ili kuvuta watu watiririke nondo za maana na kwakuwa tumeshavimbishwa bichwa kwa kuitwa wakuu, wengi tunauvaa uhusika wa UKUU ipasavyo.
Haya WAKUU, Mimi nimegundua hayo, ongeza na lako kama lipo.
Nimekuelewa Mkuu,Habarini wakuu!
Kama ilivyo kawaida yetu humu ndani tumezoea sana kuitana WAKUU bila kujali unayemwita ni kweli ni Mkuu au la!
Humu ndani kuna wazee na wajukuu zao, wazazi na watoto wao, watu waliotalakiana, wenye vyeti feki na halali, misukule na watu timamu: Lakini utamaduni wetu ni huu wa kuitana MKUU.
Nimegundua Kwanin tunalitumia sana neno MKUU;
Kwanza, humu ndani wengi tunatumia ID na AVATAR feki hivyo kila mmoja ana HOFU na mwenzake. Kuchati na mtu usiyemfahamu kunahitaji Busara yaweza kuwa unacomment thread ya babu yako, au mama au boss wako kazini Ndiyo maana wengi tunatumia neno MKUU.
Pili nadhani wengi wetu tunatumia MKUU ili tusitukanwe, wengi humu ukiwaquote na kucomment vibaya wanarudisha majibu ambayo yatakuharibia Siku na mood ya kufanya kazi itaisha.
Tatu, wengi wakianzisha Uzi hasa unaohitaji mchango wa mawazo, hutumia sana WAKUU ili kuvuta watu watiririke nondo za maana na kwakuwa tumeshavimbishwa bichwa kwa kuitwa wakuu, wengi tunauvaa uhusika wa UKUU ipasavyo.
Haya WAKUU, Mimi nimegundua hayo, ongeza na lako kama lipo.
Heshima kwako Ndg Mwene chungu .Jamii forum ni mtandao ambao watu wanawasiliana kinafsi zaidi,sio katika ulimwengu wa kawaida.hivyo tupo kwenye ulimwengu mwingine ambao majina yetu ya kawaida hayana nafasi wala uzito tena,huku ni ulimwengu mwingine ambao uwezo wa mtu hautazamwi wala kupimwa kwa umri au elimu bali anachokiandika.
Huu ni mfano wa maisha baada ya kifoo kila mmoja hatakuwa na uwezo wa kuuuona mwili wa mwenzie bali tutambuana kwa madaraja yetu na SOTE TUTAITANA KWA JINA MOJA NA KUELEWANA.
MAJINA KAMA WATEULE,WALOKORE YATAFAA HUKO NA SIO HAPA.
KAMA UMENIELEWA HILO NDIO LENGO LANGU,KAMA BADO SUBIRI UFE UTANIELEWA
Ndugu mkaitane kijijini kwenu hapa jf ni mkuu tuMimi ningependa lingetumika neno "ndugu" badala ya "mkuu"