Nimegundua kwanini wanaJF huitana "Mkuu"

Nimegundua kwanini wanaJF huitana "Mkuu"

Mtu ukimwita mkuu unamtukuza,na hivyo anakosa nguvu ya kukukosoa vikali na anakuwa na haya kukutoa povu kwa kifupi ni defencing mechanism
 
Habarini wakuu!

Kama ilivyo kawaida yetu humu ndani tumezoea sana kuitana WAKUU bila kujali unayemwita ni kweli ni Mkuu au la!
Humu ndani kuna wazee na wajukuu zao, wazazi na watoto wao, watu waliotalakiana, wenye vyeti feki na halali, misukule na watu timamu: Lakini utamaduni wetu ni huu wa kuitana MKUU.

Nimegundua Kwanin tunalitumia sana neno MKUU;
Kwanza, humu ndani wengi tunatumia ID na AVATAR feki hivyo kila mmoja ana HOFU na mwenzake. Kuchati na mtu usiyemfahamu kunahitaji Busara yaweza kuwa unacomment thread ya babu yako, au mama au boss wako kazini Ndiyo maana wengi tunatumia neno MKUU.

Pili nadhani wengi wetu tunatumia MKUU ili tusitukanwe, wengi humu ukiwaquote na kucomment vibaya wanarudisha majibu ambayo yatakuharibia Siku na mood ya kufanya kazi itaisha.

Tatu, wengi wakianzisha Uzi hasa unaohitaji mchango wa mawazo, hutumia sana WAKUU ili kuvuta watu watiririke nondo za maana na kwakuwa tumeshavimbishwa bichwa kwa kuitwa wakuu, wengi tunauvaa uhusika wa UKUU ipasavyo.

Haya WAKUU, Mimi nimegundua hayo, ongeza na lako kama lipo.
Kweli kabisa Mkuu nahisi wew ni mfanyakazi hapa ofisini kwangu .... Maana
 
Waswahili wanasema usimdharau usiemjua,,hata unaemjua pia usimdharau,,ni neno la heshima tu mkuu
 
Neno mkuu linapunguza sana hasira na linajenga urafiki flani. Ni kama umeomba po kinamna ukisema mkuu ili usiporomoshewe maneno
 
Mimi natumia ili neno mkuu kwa kuwa sijui [HASHTAG]#JINSIA[/HASHTAG]
 
Umejitahidi ila ongeza bidii kwny utafiti wako mkuu unaweza pata ajira kwny kitengo nyeti...................!
 
Unaweza ukatumia neno "mkuu" na bado wakuu waakupa za uso mkuu,ikitokea hivyo usisononeke ndio maisha ya hiki kisiwa mkuu.
 
Mimi binafsi nadhani kuwa mmefupisha Mkuu -Mkubwa
Maana huwezi kusema kaka/dada
baba/mama

kwasababu ya Id fake zilizokuwepo kama asemavyo mleta mada.
 
Habarini wakuu!

Kama ilivyo kawaida yetu humu ndani tumezoea sana kuitana WAKUU bila kujali unayemwita ni kweli ni Mkuu au la!
Humu ndani kuna wazee na wajukuu zao, wazazi na watoto wao, watu waliotalakiana, wenye vyeti feki na halali, misukule na watu timamu: Lakini utamaduni wetu ni huu wa kuitana MKUU.

Nimegundua Kwanin tunalitumia sana neno MKUU;
Kwanza, humu ndani wengi tunatumia ID na AVATAR feki hivyo kila mmoja ana HOFU na mwenzake. Kuchati na mtu usiyemfahamu kunahitaji Busara yaweza kuwa unacomment thread ya babu yako, au mama au boss wako kazini Ndiyo maana wengi tunatumia neno MKUU.

Pili nadhani wengi wetu tunatumia MKUU ili tusitukanwe, wengi humu ukiwaquote na kucomment vibaya wanarudisha majibu ambayo yatakuharibia Siku na mood ya kufanya kazi itaisha.

Tatu, wengi wakianzisha Uzi hasa unaohitaji mchango wa mawazo, hutumia sana WAKUU ili kuvuta watu watiririke nondo za maana na kwakuwa tumeshavimbishwa bichwa kwa kuitwa wakuu, wengi tunauvaa uhusika wa UKUU ipasavyo.

Haya WAKUU, Mimi nimegundua hayo, ongeza na lako kama lipo.
haya mkuu
 
Na yeye kuna mahali kasema hivyo, kwamba nikisha kujibu kwa kukuita mkuu, unaona kabisa nakuwa nimekuheshimu hivyo hata wewe utanijibu kiheshima hata kama tunatofautiana hoja.

Ila kuna wale jamaa waliokunywa bendera za vyama hata uoneshe kuwaheshimu vipi lazima watakushushia tu.
hahahahaaaa we jamaa umesababisha nishangawe kwenye daladala kwa kucheka kwa sauti!
 
Habarini wakuu!

Kama ilivyo kawaida yetu humu ndani tumezoea sana kuitana WAKUU bila kujali unayemwita ni kweli ni Mkuu au la!
Humu ndani kuna wazee na wajukuu zao, wazazi na watoto wao, watu waliotalakiana, wenye vyeti feki na halali, misukule na watu timamu: Lakini utamaduni wetu ni huu wa kuitana MKUU.

Nimegundua Kwanin tunalitumia sana neno MKUU;
Kwanza, humu ndani wengi tunatumia ID na AVATAR feki hivyo kila mmoja ana HOFU na mwenzake. Kuchati na mtu usiyemfahamu kunahitaji Busara yaweza kuwa unacomment thread ya babu yako, au mama au boss wako kazini Ndiyo maana wengi tunatumia neno MKUU.

Pili nadhani wengi wetu tunatumia MKUU ili tusitukanwe, wengi humu ukiwaquote na kucomment vibaya wanarudisha majibu ambayo yatakuharibia Siku na mood ya kufanya kazi itaisha.

Tatu, wengi wakianzisha Uzi hasa unaohitaji mchango wa mawazo, hutumia sana WAKUU ili kuvuta watu watiririke nondo za maana na kwakuwa tumeshavimbishwa bichwa kwa kuitwa wakuu, wengi tunauvaa uhusika wa UKUU ipasavyo.

Haya WAKUU, Mimi nimegundua hayo, ongeza na lako kama lipo.
Kwa taarifa tu .. MKUU NI KUHESHIMIANA. uwe lofa au kamanda au wa buku7 we ni MKUU tu
 
Back
Top Bottom