Nimegeuzwa Erick Omondi

Nimegeuzwa Erick Omondi

Singasinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2011
Posts
2,741
Reaction score
3,315
Ushauri wakuu

Kuna binti (mpenzi) kanigeuza Erick Omondi maana siku hizi akiwa bored ndio ananitxt ili tuchat acheke ila tukipanga aje maskani anadai kwa sasa yuko busy hawezi pata muda wa kuja.

Sasa kwa kutambua hilo kuanzia juzi nimemkaushia sms zake na nadhani umefika muda wa mimi kuangalia ustaarabu mwingine wa mtu ambae atakua commited na mimi bila kuangalia maslahi yake binafsi.

Je uamuzi wa kumkaushia uko sahihi?
 
Mkuu uamuzi wa kumkaushia bado haujaamua acha akugeuze erick omondi tu

Ungeamua mwenyewe ungefanya maamuzi yako bila kuja kuomba ushauri jf
Hapana kaka vijiwe kama hivi vinasaidia kuamua baadhi ya mambo ndio maana rais ana washauri
 
Kakugeuza kituko wake..unamboost mood yake awe happy. Akishakua happy anaenda kufurahia na awapendao.
Wake Up mate
Hakika kaka nimegundua hili natumika kwa maslahi yake nowdays
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom