Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,315
Ushauri wakuu
Kuna binti (mpenzi) kanigeuza Erick Omondi maana siku hizi akiwa bored ndio ananitxt ili tuchat acheke ila tukipanga aje maskani anadai kwa sasa yuko busy hawezi pata muda wa kuja.
Sasa kwa kutambua hilo kuanzia juzi nimemkaushia sms zake na nadhani umefika muda wa mimi kuangalia ustaarabu mwingine wa mtu ambae atakua commited na mimi bila kuangalia maslahi yake binafsi.
Je uamuzi wa kumkaushia uko sahihi?
Kuna binti (mpenzi) kanigeuza Erick Omondi maana siku hizi akiwa bored ndio ananitxt ili tuchat acheke ila tukipanga aje maskani anadai kwa sasa yuko busy hawezi pata muda wa kuja.
Sasa kwa kutambua hilo kuanzia juzi nimemkaushia sms zake na nadhani umefika muda wa mimi kuangalia ustaarabu mwingine wa mtu ambae atakua commited na mimi bila kuangalia maslahi yake binafsi.
Je uamuzi wa kumkaushia uko sahihi?
