Nimegeuzwa Erick Omondi

Nimegeuzwa Erick Omondi

Kumbaf sana huyo.....eti "hahahaaa"
Akachekee makima wenzake huko.....AMENIKERA!
Jana nimekutana nae mitaa yao nlikua nawahi kucheki game ya united na liva nlimpita kama simjui akanipiga kikumbo nikajifanya ndo nimemuona,akanitambulisha mdogo wake wa kike nikamjibu tu "ok fine ngoja niwahi"

Najua anasubiri nimjib sms zake ambazo alizituma ila nimejiapia labda nirogwe
 
Ushauri wakuu

Kuna binti (mpenzi) kanigeuza Erick Omondi maana siku hizi akiwa bored ndio ananitxt ili tuchat acheke ila tukipanga aje maskani anadai kwa sasa yuko busy hawezi pata muda wa kuja.

Sasa kwa kutambua hilo kuanzia juzi nimemkaushia sms zake na nadhani umefika muda wa mimi kuangalia ustaarabu mwingine wa mtu ambae atakua commited na mimi bila kuangalia maslahi yake binafsi.

Je uamuzi wa kumkaushia uko sahihi?
Sahihi kabisa
 
Jana nimekutana nae mitaa yao nlikua nawahi kucheki game ya united na liva nlimpita kama simjui akanipiga kikumbo nikajifanya ndo nimemuona,akanitambulisha mdogo wake wa kike nikamjibu tu "ok fine ngoja niwahi"

Najua anasubiri nimjib sms zake ambazo alizituma ila nimejiapia labda nirogwe
Umetisha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom