Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,815
- 10,702
Umechelewa sana Singasinga nasema uongo ndugu zanguUshauri wakuu
Kuna binti (mpenzi) kanigeuza Erick Omondi maana siku hizi akiwa bored ndio ananitxt ili tuchat acheke ila tukipanga aje maskani anadai kwa sasa yuko busy hawezi pata muda wa kuja.
Sasa kwa kutambua hilo kuanzia juzi nimemkaushia sms zake na nadhani umefika muda wa mimi kuangalia ustaarabu mwingine wa mtu ambae atakua commited na mimi bila kuangalia maslahi yake binafsi.
Je uamuzi wa kumkaushia uko sahihi?
Nayeye pia anawajibu wa kuheshimu hisia zangu la sivyo kila mmoja abaki na chakeEndelea kumchekecha tuu kaka , maisha mafupi sana haya..
nlidhani nko mwenyewe kumbe tuko wengi yaan demu maslahi yake anatak atimiziwe ila yako kukutimizia sahau.....na bora na ww ankup visingizio me wangu ananyooka straight ansema hawezi kuja afu nikiuchuna hata wiki na yye vivyo hivyo anauchuna....ila maamuzi ya mwisho ni kutafuta ustaarabu mwingine tu🥴🥴🥴Ushauri wakuu
Kuna binti (mpenzi) kanigeuza Erick Omondi maana siku hizi akiwa bored ndio ananitxt ili tuchat acheke ila tukipanga aje maskani anadai kwa sasa yuko busy hawezi pata muda wa kuja.
Sasa kwa kutambua hilo kuanzia juzi nimemkaushia sms zake na nadhani umefika muda wa mimi kuangalia ustaarabu mwingine wa mtu ambae atakua commited na mimi bila kuangalia maslahi yake binafsi.
Je uamuzi wa kumkaushia uko sahihi?
Kwamba anajibu kabisa hawezi kuja?nlidhani nko mwenyewe kumbe tuko wengi yaan demu maslahi yake anatak atimiziwe ila yako kukutimizia sahau.....na bora na ww ankup visingizio me wangu ananyooka straight ansema hawezi kuja afu nikiuchuna hata wiki na yye vivyo hivyo anauchuna....ila maamuzi ya mwisho ni kutafuta ustaarabu mwingine tu![]()


si ulijifanya mchekeshaji .... Na kutoka hapo ni ngumu asikuambie mtu ..hata akija ukamtindua bado utabaki Kama rafiki maana akili zake zipo huko