Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Kama hakuna, mbona we umeweza?
Safi kabisa, sasa onyesha ujinga wangu. Yaani hili siyo wewe tu mpaka wakubwa zako hawawezi kuonyesha kuonyesha ujinga katika haya ninayo yaandika.
 
Safi kabisa, sasa onyesha ujinga wangu. Yaani hili siyo wewe tu mpaka wakubwa zako hawawezi kuonyesha kuonyesha ujinga katika haya ninayo yaandika.
Ukiwa mjinga ukioneshwa ujinga wako, utajuaje kua huu ni ujinga wakati ni mjinga?
 
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
Wewe ni mtu mzima! Hivyo hayupo wa kukupangia katika hayo maamuzi yako. Ingawa sihapata picha kama una mke mcha Mungu na watoto! Naamini watakuona uko confused.

Ni wakati pia wa kuungana na hawa ndugu zako wenye imani kama yako Civilian Coin na Kiranga!

Na sisi tutaendelea kubakia na imani zetu. Maana hatupungukiwi na chochote! Zaidi tu tunazidi kuongezewa. Hakika Mwenyezi Mungu ni muweza wa yote.
 
Hizo ni blabla tu haya nikuulize na wewe ni nani aliyetengeneza huyo Mungu na kumpa uwezo wa kutengeneza hivyo unavyodai ni Kazi yake Yaani Ulimwengu vitu vyote?
Maana kama unaamini binadamu aliumbwa lazima muumbaji ana muumbaji wake pia maana hiyo ndio kanuni ya maisha katika ulimwwngu wetu!
Binadamu kaumba nini ?
 
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
I concur.

But through a system which shall define us.

Politics is a lie....

Economic module has to be installed and one un-decoded.

Like Federal....

Marshall....

A lot more others.

A master plan which is developed inside our locality.

50yrs?
100yrs
200Yrs.

We have a Central Bank System which is borrowed from World Bank...

It is not ours..

It can't do with us.

Another point is-Research and Product Development...

DISCOVERIES...

INNOVATION....CUTTING ACCROSS SECTORS....


AND A LOT MORE OTHERS....
 
Binadamu ana kiburi sana akiwa na afya na pumzi.
Wanaokatishwa tamaa kwenye safari ya imani humalizwa na shetani kwa namna mbaya

  1. Watakaposema wizi si dhambi wataishia kuiba na kupigwa mawe
  2. Watakaposema uzinzi si dhambi wataishia kufanya zinaa hadi wapotelee huko
  3. Watakaposema ushoga si dhambi wataishia kuwa walawiti na watamalizwa na magonjwa ya ajabu.
Binadamu wote tuna namna ya ibada ndani yetu ndio maana hata mwabudu shetani, shetani kwake ni mungu, hata wanaojiita atheists (hawaaamini Mungu) wameishia kuwa Waabudu nature wakiabudu vitu vya asili miti,mawe miamba, wakifanya yoga, meditation.

Duniani kuna pande mbili tu upande wa shetani mpingaji wa Muumbaji, na pande ya Pili ni ya Muumbaji (Mwenyezi Mungu) huwezi kuwa na upande wako.

Binadamu akikaribia kufa utasikia nileteeni viongozi wa dini waniombee hata kama hakuwa anaabudu.
 
Mpaka hapa nilipofika sijaacha swali ambalo halijajibiwa

Kuna mahali umethibitisha mungu yupo?
Ila mkuu utawezaje kujua kuwa huu kweli ni uthibitisho wa Mungu hata ikitokea mtu akakupa huo uthibitisho?
 
Ila mkuu utawezaje kujua kuwa huu kweli ni uthibitisho wa Mungu hata ikitokea mtu akakupa huo uthibitisho?
Kama ambavyo mtu wa dini tofauti na yako anayesema Mungu wako ni wa uongo na Mungu anayemuabudu yeye ndo wa ukweli

Akakuambia yuko tayari akuthibitishie, vigezo utavyotumia wewe kupima kujua uthibitisho wa kweli ama wa uwongo havitatofautiana sana na vigezo nitavyotumia mimi kupima uthibitisho wa Mungu wako unayetaka kunithibitishia
 
Kama ambavyo mtu wa dini tofauti na yako anayesema Mungu wako ni wa uongo na Mungu anayemuabudu yeye ndo wa ukweli

Akakuambia yuko tayari akuthibitishie, vigezo utavyotumia wewe kupima kujua uthibitisho wa kweli ama wa uwongo havitatofautiana sana na vigezo nitavyotumia mimi kupima uthibitisho wa Mungu wako unayetaka kunithibitishia
Ingekuwa hivyo basi ungekubali Mungu ninayemkubali mimi kuwa yupo na ndio Mungu wa kweli kwa hivyo vigezo vyangu ambavyo ndio nimevitumia hadi nikamkubali, ila wewe una vigezo vyako na ndio maana huna Mungu uliyemkubali na ukamuamini kwa sababu hakuna aliyekuwa na hivyo vigezo vyako.
 
Ingekuwa hivyo basi ungekubali Mungu ninayemkubali mimi kuwa yupo na ndio Mungu wa kweli kwa hivyo vigezo vyangu ambavyo ndio nimevitumia hadi nikamkubali, ila wewe una vigezo vyako na ndio maana huna Mungu uliyemkubali na ukamuamini kwa sababu hakuna aliyekuwa na hivyo vigezo vyako.
Hujaelewa hoja

Kuna miungu 5,000

Katika hiyo miungu wewe umemchagua mmoja, hivyo hukubaliani na miungu 4,999

Miongoni mwa watu wanaoabudu hiyo miungu 4,999 ambayo wewe huikubali akakuambia anao uthibitisho unaoonesha ya kwamba mungu wako sio wa kweli ila wakwake tu

Akakuambia anaweza kukuthibitishia kua mungu wake huyo ni wa kweli, vigezo utavyotumia kuupima uthibitisho wa mtu huyo dhidi ya madai yake, ndivyo hivyo hivyo ambavyo naweza nikatumia mimi kupima uthibitisho wako utakaonipa
 
Back
Top Bottom