Nimefurahi kuja kupata marafiki hapa

Nimefurahi kuja kupata marafiki hapa

Kwani nyie ofisi zenu zipo wapi ili nipime gharama ya usafiri
😂 😂 😂 unaweza lipia usafiri kumbe office zipo mtaa wa pili kutoka kwako... Au mpo jengo moja ofisini kwako. Swali zuri
Labda aseme masharti ni lazima bidhaa uletewe na bodaboda
 
Kwa comment zilizomo kwenye uzi wako naona watu wanataka sana bidhaa ya kipochi manyoya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom