Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,150
- 124,760
Unatuuliza sie au umejiuliza mwenyeweWhat is former I'd?
Unatuuliza sie au umejiuliza mwenyeweWhat is former I'd?
Mungu anakuonaTunataka kuanza na wewe kwanza bidhaa baadae...
Siuzi vyura boss wangu
Ananiuliza mimi kuna comment nimemwambia "okay welcome back @ whatever your former id was" sema nimeifuta kabla hajaiquote ndo maana ni kama kajiuliza mwenyeweUnatuuliza sie au umejiuliza mwenyewe
Nifanyie wepesiNapenda urafiki
Mimi Ni mwanamke ,mfanyabiashara,nipo dar es salamu.nipo single
Nina miaka 35.
Naitaji marafiki wote wa kunisupport kwa biashara yangu na maisha kwa jumla
Asanteni
Ahaa kwa hiyo unaamini ana former I'd?Ananiuliza mimi kuna comment nimemwambia "okay welcome back @ whatever your former id was" sema nimeifuta kabla hajaiquote ndo maana ni kama kajiuliza mwenyewe
Hakuna kitu kinaitwa moving supermarket! Narudia tena wewe mama ebu ongea vizuri tukuelewa unaweza fikiriwa ni forever living huwa mnakuja hivi hiviNasupply bidhaa zote za nyumbani.mafuta,sabuni,unga etc.kila kitu kwa Bei nzuri.mimi Ni moving supermarket.unaniagiza chochote utaletewa Hadi nyumbani kwako ndo ulipie
Kuna ubaya kwani kujitambulisha?-Nipo single
-Ni mfanyabiashara
-Natafuta marafiki
Kwenye hesabu hivi vitu vina relate kama ukifanya cross multipication tu...teh teh
Booster Ni Nini?Unahitaji marafiki au booster
Ongea vizuri ueleweke
Asante sanaKwanzia sasa umekuwa rafiki yangu
Hapana sipendi siasa mimi nafanya maisha yangu ya kutafuta hela tungoja kwanza
unamjua Cyprian musiba.....?
Kama huniamini niambie unaitaji bidhaa gani nyumbani kwako uletewe boss.mimi sio foreverHakuna kitu kinaitwa moving supermarket! Narudia tena wewe mama ebu ongea vizuri tukuelewa unaweza fikiriwa ni forever living huwa mnakuja hivi hivi
Nimekukubali kwa mbinu yako, Safi sana mdada yaani hapa business tu [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Hapana sipendi siasa mimi nafanya maisha yangu ya kutafuta hela tu
Sasa mbona ulianza kujitangaza wewe badala ya bidhaa.Nasupply bidhaa zote za nyumbani.mafuta,sabuni,unga etc.kila kitu kwa Bei nzuri.mimi Ni moving supermarket.unaniagiza chochote utaletewa Hadi nyumbani kwako ndo ulipie
Afadhali umewarahisishia vijana chief, maana vijana wanajing'ata tu kucha kwa kushindwa hesabu...teh[emoji23]-Nipo single
-Ni mfanyabiashara
-Natafuta marafiki
Kwenye hesabu hivi vitu vina relate kama ukifanya cross multipication tu...teh teh