mchele Super
New Member
- Jul 1, 2026
- 3
- 1
BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIIM
Habari wana JamiiForums,
Natafuta mnunuzi wa jumla au mshirika wa biashara ya mchele.
Mimi ni mfanyabiashara mdogo kutoka Bonde la Mto Kilombero, Morogoro. Kwa sasa nina gunia 30 za mpunga tayari ghalani, na lengo langu ni kujenga ushirikiano wa muda mrefu na wanunuzi au wasambazaji wa mchele.
Mpunga ni mbegu ndefu, ikiwemo Mbawa Mbili na Kalimata, huku Sarro 5 ikiwa kwa kiwango kidogo. Hivyo ninategemea kupata mchele wenye ubora mzuri, nafaka ndefu na unaokidhi mahitaji ya soko.
BIASHARA HII NATARAJIA TUIFANYE SOKO LIKIWA ZURI KUANZIA NOVEMBER
Ninatafuta:
Nipo tayari kujadili bei, namna ya usafirishaji na ushirikiano wa muda mrefu wenye manufaa kwa pande zote.
Kama una interest au unafahamu mtu anayehitaji mchele wa ubora mzuri, tafadhali nitumie DM.
Asanteni sana, na Mwenyezi Mungu awabariki.
Habari wana JamiiForums,
Natafuta mnunuzi wa jumla au mshirika wa biashara ya mchele.
Mimi ni mfanyabiashara mdogo kutoka Bonde la Mto Kilombero, Morogoro. Kwa sasa nina gunia 30 za mpunga tayari ghalani, na lengo langu ni kujenga ushirikiano wa muda mrefu na wanunuzi au wasambazaji wa mchele.
Mpunga ni mbegu ndefu, ikiwemo Mbawa Mbili na Kalimata, huku Sarro 5 ikiwa kwa kiwango kidogo. Hivyo ninategemea kupata mchele wenye ubora mzuri, nafaka ndefu na unaokidhi mahitaji ya soko.
BIASHARA HII NATARAJIA TUIFANYE SOKO LIKIWA ZURI KUANZIA NOVEMBER
Ninatafuta:
- Mnunuzi wa jumla wa mchele.
- Wakala au msambazaji wa mchele.
- Mshirika wa biashara mwenye masoko ya uhakika, hasa Dar es Salaam.
Nipo tayari kujadili bei, namna ya usafirishaji na ushirikiano wa muda mrefu wenye manufaa kwa pande zote.
Kama una interest au unafahamu mtu anayehitaji mchele wa ubora mzuri, tafadhali nitumie DM.
Asanteni sana, na Mwenyezi Mungu awabariki.