Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Nimegundua kuwa ukipima unakuwa na furaha zaidi kwa matokeo yoyote yale. Nenda tu mkuu usihofu, mimi mara tatu narudia getini na ya nne ndo sikurudi kabisa kuchukua matokeo. Tena sasa hivi simple sana damu wanatoa kwenye kidole!
mimi huwa naamini wakinitoa kwenye mshipa.....sijui kwa nini