Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,834
Sielewi mda huu tumetoka kugombana, huyu ni mchumba wangu na nimke wangu mtarajiwa, nilikuwa safari South Sudan nimerudi leo kwakushtukiza maana nilimwambia narudi kesho kutwa.
Sasa nilipo fika nilimkuta kibarazani anapika aliponiona tu akahamaki uzuri mlango wa chumba chake ulikuwa wazi mimi nikafungua bila hodi nikaingia ila Kuna jambo jipya nimekuta suruali ya kitambaa na boksa, hizi nguo sio zangu nawala Sina nguo kwenye chumba cha mpenzi wangu.
Nina mashaka walikuwa wanakulana na huyu jamaa huenda kaenda kuoga bafuni ila aliposikia makerere kasepa.
Namuuliza mke wangu amesema ameninunulia mitumba eti. Ivi kweli Kuna boxer ni mitumba jamani. Haina shida mimi nimempa zawadi ya asali niliyonunua Juba nimeondoka kwa Amani nimefuta namba zake.
Sasa nilipo fika nilimkuta kibarazani anapika aliponiona tu akahamaki uzuri mlango wa chumba chake ulikuwa wazi mimi nikafungua bila hodi nikaingia ila Kuna jambo jipya nimekuta suruali ya kitambaa na boksa, hizi nguo sio zangu nawala Sina nguo kwenye chumba cha mpenzi wangu.
Nina mashaka walikuwa wanakulana na huyu jamaa huenda kaenda kuoga bafuni ila aliposikia makerere kasepa.
Namuuliza mke wangu amesema ameninunulia mitumba eti. Ivi kweli Kuna boxer ni mitumba jamani. Haina shida mimi nimempa zawadi ya asali niliyonunua Juba nimeondoka kwa Amani nimefuta namba zake.