By j5 next week ntakua na ofisi yangu i guess. .Pole sana mkuu.. tumia hiyo taaluma kujajiri.. anza mdogo mdogo
Amen..Utalivuka tu mkuu ikiwa ulifanya yote hayo kwa upendo na kheri basi jua hujapoteza kitu Mungu akusimamie katika hili.
Amen mkuu..Jambo la msingi sana, songa mbele. Utafanikiwa na salamu zako zitawafikia
Sasa wewe ni wakili senior,muda wote huo unapata hela umeshindwa au unashindwa kufungua firm yako na kuchukua wateja wako toka kwa huyo bazazi aliekufukuza na mambo yakaenda?hebu acha kulia lia mitandaoni,ni aibu sana kwa wakili kama wewe but pole kwa kufukuzwa KaziMy name is Amicus Curiae, a very prominent lawyer in the Capital City of .......
Nilifika pale ofisini mapema sana miaka kadhaa iliyopita wakati ofisi iko kwenye kipindi kigumu, nikaishi nao hivyohivyo tena kwa upendo, nikawafundisha kazi makumi ya Wanasheria (Mawakili), wakafanikiwa na wengine hawakuaga baada ya kuona mafanikio, boss akawa anawanung'unikia kwangu.
Boss wangu akawa amefanya mambo makubwa sana lakini kipindi hicho kilikuwa kipindi cha nyuma mno. Nikaiga mambo yaleyale ya boss akanisifia yeye mwenyewe na kwa wengine ofisini.
Kumbe mule ndani ofisini watu wakawa wananionea wivu ila ukikutana nao wanakuchekeaaaa... (jamani unafiki upo).
Nikawa nafanya kazi zote zenye malipo makubwa ofisini huku kwa upendo nikiwapa kazi za kunisaidia sambamba na fedha kwa vijana wote pale ofisini ili na wenyewe wapate pesa za kujikimu.
Kumbe roho inawauma. Juzijuzi bila mimi kujua wakapanga njama kwamba nifukuzwe ili wao ndiyo waonekane. Yale yote niliyokuwa nawashirikisha kwa upendo wakayaweka bayana. Boss pamoja na kuniamini akawaamini wao zaidi na kinifukuza kwasababu alishapandikizwa sumu kali sana.
Jamani don't trust anyone. Nakumbuka niliitwa kwenye ofisi ya hasimu (mpinzani) wa ofisi ya boss wangu mara mbili ili niiodhoofishe ofisi ya boss wangu ila nikakataa. Siku niliyoenda kukataa hiyo offer nilikuwa na huyo mtu wa ofisini aliyenichafua, kumbe yeye ndiye aliyefanya yote hadi kufikia hapa nilipo.
Leo nimefukuzwa, HAKUNA ALIYENIPIGIA SIMU HATA YA KINAFKI KUNIPA POLE.
Jamani ukijiona una kitu cha PEKEE kinachopendwa na boss wako jihadhari na hao mashost au mabest wa ofisini, utaula wa chuya.
Nimewasamehe wote and I am moving on.
Mungu na wanadamu. Naomba kubakia. Amen.
Amen mkuu..Pole Mkuu
Mungu ni mwema .
Hakika mkuu..
Connection ni nyingi mno mkuu..kijana mwenzangu pole sana, ila naamini una connection za kutosha hakiharibiki kitu
Msomi rafiki wa mahakama....hizi ni changamoto ambazo utazivuka tu mkuu.Connection ni nyingi mno mkuu..
Amen mkuu wangu.Msomi rafiki wa mahakama....hizi ni changamoto ambazo utazivuka tu mkuu.
Mimi pia nilipata situation moja ktk firm niliyokuwepo mambo yakavurugika...ila mpaka leo things are moving on.
Utashinda...Mungu na akuvushe. Badala ya kuwakasirikia hao waliokuchoma..wewe mshukuru Mungu. Fanya maombi ya sifa na shukrani kwa Mungu.
Adui yako siyo hao wafitini hapo ofisini bali aduo yako halisi ni roho iliyo nyuma yao hao waliokufitini...nguvu za giza, roho wachafu. Hawa ndiyo wako nyuma ya waliokufitini...lengo ni kukuharibia ili imani yako kwa Mungu ijaribiwe. Stand firm, do not waver. Mungu atakupigania.
Pole mi mwenyewe nilishapataga mtihan km huo ,hakuna hata mmoja alotuma sms ya pole hata ya kinafik,tena yule ambae nilikua department nae moja na lift alikua akinipa mara kwa mara ,lakin Kuna kipind nilikua nikipishana nae Yuko kwny pikpik yake hata salaam hakuna,nam nikawapotezeaga mazima na mkoa nikahama,sasa mwaka juz nkapigiwa cm na jiran yng wa uko ,akanambia fulan amejiua kwa kujinyonga ,Wala ckusikitika Wala kufurah ,nikamwambia okay,nkaendelea na mambo yng,rafik wa kwel Yesu ndugu yangu wa kweli mwanangu, that's my slogan tangu nifukuzwe Kaz nilijifunza kuiangalia dunia kwa namna hiyo,My name is Amicus Curiae, a very prominent lawyer in the Capital City of .......
Nilifika pale ofisini mapema sana miaka kadhaa iliyopita wakati ofisi iko kwenye kipindi kigumu, nikaishi nao hivyohivyo tena kwa upendo, nikawafundisha kazi makumi ya Wanasheria (Mawakili), wakafanikiwa na wengine hawakuaga baada ya kuona mafanikio, boss akawa anawanung'unikia kwangu.
Boss wangu akawa amefanya mambo makubwa sana lakini kipindi hicho kilikuwa kipindi cha nyuma mno. Nikaiga mambo yaleyale ya boss akanisifia yeye mwenyewe na kwa wengine ofisini.
Kumbe mule ndani ofisini watu wakawa wananionea wivu ila ukikutana nao wanakuchekeaaaa... (jamani unafiki upo).
Nikawa nafanya kazi zote zenye malipo makubwa ofisini huku kwa upendo nikiwapa kazi za kunisaidia sambamba na fedha kwa vijana wote pale ofisini ili na wenyewe wapate pesa za kujikimu.
Kumbe roho inawauma. Juzijuzi bila mimi kujua wakapanga njama kwamba nifukuzwe ili wao ndiyo waonekane. Yale yote niliyokuwa nawashirikisha kwa upendo wakayaweka bayana. Boss pamoja na kuniamini akawaamini wao zaidi na kinifukuza kwasababu alishapandikizwa sumu kali sana.
Jamani don't trust anyone. Nakumbuka niliitwa kwenye ofisi ya hasimu (mpinzani) wa ofisi ya boss wangu mara mbili ili niiodhoofishe ofisi ya boss wangu ila nikakataa. Siku niliyoenda kukataa hiyo offer nilikuwa na huyo mtu wa ofisini aliyenichafua, kumbe yeye ndiye aliyefanya yote hadi kufikia hapa nilipo.
Leo nimefukuzwa, HAKUNA ALIYENIPIGIA SIMU HATA YA KINAFKI KUNIPA POLE.
Jamani ukijiona una kitu cha PEKEE kinachopendwa na boss wako jihadhari na hao mashost au mabest wa ofisini, utaula wa chuya.
Nimewasamehe wote and I am moving on.
Mungu na wanadamu. Naomba kubakia. Amen.
Nashukuru.ni mapito tu.Hahaha
Pole mkuu
Marafiki katika maisha hawatabiliki kamwe.
Pole Mkuu.Pole sana mzee kumbe tupo pamoja lakini mbali mbali sana.
Mimi jana nimepewa barua rasmi ya kusitishwa kwa internship yangu katika ofisi moja kubwa ya serikali.
Kuanzia jumatatu rasmi sina mahala pa kwenda. Tupo pamoja