Nimefukuzwa Butiama kwa ubakaji

Nimefukuzwa Butiama kwa ubakaji

Status
Not open for further replies.

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,462
Dakika chache kabla ya Makamu wa Rais, Gharib Bilal kufika Mwitongo, wamefika wasichana watatu wa primary school kuniomba chakula.

Nimechukua sahani niende kuwapakulia chakula, ghafla wamefika FFU, nadhani alikuwa FFU mmoja, amevaa bullet proof vest, kaondoka nao, kaenda kuwachapa viboko,watoto wananiambia wamechapwa fimbo kumi kila mmoja.

Basi na Mimi nimeondoka, nimenunua tiketi ya Dar, Kesho narudi Dar. Nimefukuzwa, nimeitwa mbakaji. Hapo mahali walikuwepo wageni wengi, lakini wamekuja hao polisi ambao ndiyo wale wale waliotumwa kwenda Mwitongo mahsusi kwa kumlinda Andrew.

Walikuwepo wageni, Makamu wa Rais, mawaziri kutoka Kenya, mawaziri kutoka Tanzania. Mawazo yangu kuhusu hili jambo? Nataka Lowassa ashinde uchaguzi.
 
Kamanda Karibu kwenye mabadiliko. Baba yetu Nyerere atafurahishwa sana kumwona mwanaye Andrew ameingia Rasmi kwenye mapambano ya kuikomboa nchi yake kutoka kwenye makucha ya MKOLONI MWEUSI aitwaye CCM na Serikali yake !
 
Sijakuelewa Mkuu!!
naona kama unaharibu kutumia jina la Babu yetu.
 
Ndio mana Lowassa anasema
Kipaumbele cha kwanza Elimu,
Cha pili Elimu,
Cha tatu Elimu.

Sasa ndo umeandika nini?????
Wenye upeo mkubwa wenye exposure ya masuala wanamwelewa kama mlevi anavyoelewa kinywaji chake!
 
  • Thanks
Reactions: Wed
Yaaani Mwaka huu mabadiliko ni lazima. Kuyazuia ni sawa na kusimamisha mafuriko kwa Mkono !!! CCM ipumzike kwa amani. Karibu Serikali ya Ukawa. Mungu Ibariki Tz, Mungu bariki Ukawa..... LOWASA ATOSHA !
 
Japo hujaeleweka vyema,nimekusoma kuwa unahitaji "Mabadiliko"..Usipate tabu..LOWASSA ANATOSHA!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom